Zamaradi acha kumfananisha Billgate na Mtoto wa Kajala, Unampotosha

Zamaradi acha kumfananisha Billgate na Mtoto wa Kajala, Unampotosha

Sio kila mtu billgate
S90128-082011.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huko katika ukurasa wa Instagram baada ya kusemekana kuwa mtoto wa kajala hakuwa na matokeo mazuri katika mtihani wa kidato cha nne, mastaa mbali mbali walijitokeza kwa wingi wakimkingia kifua mtoto huyu na mmoja wapo alikuwa ni Zamaradi Mketema

Zamaradi alimtia moyo mtoto huyu kwa kumfananisha na billgate kwani hata yeye alofeli na leo ni tajiri wa dunia, ndipo watu kwa Hasira walipovamia page yake na kumwambia asimfananishe paula na Billgate

View attachment 1006398
View attachment 1006399

My take

Mambo yote yanayomkuta huyu mtoto ni kutokana na tabia za mama yake kumchoresha kwenye mitandao angali hata shule Hakumaliza ni vyema angemtuliza tu kimya kimya kuliko kumtangaza tangaza mwishowe watu wamemuanika

Pili zamaradi uache kuandika magazeti ambayo hayana kichwa wala mguu, Billget hakufeli shule yule alikuwa ni Genious ambaye alikuwa na skills za computer kuzidi hadi walimu wake, alifika hadi chuo kikuu bora zaidi duniani na akaacha mwenyewe ili afanye anachokiamini, pia uwakanye hawa mabinti wa skuizi

Mtoto wa kike yupo form two tayari anasmartphone kali , hasomi kazi kukesha mtandanoni akisaka mabwana, unategemea atasoma saa ngapi, na mmoja wao ni huyu paula kutwa nzima kujichoresha yeye na mama yake wamevaa vichupi instagram alafu unasema atakuja kuwa billget?



Sent using Jamii Forums mobile app

kuna watu wakijiona maarufu wanajiona wana akili kila jambo hata mawazo kumbe vilaza tu.umesema kweli
 
Huko katika ukurasa wa Instagram baada ya kusemekana kuwa mtoto wa kajala hakuwa na matokeo mazuri katika mtihani wa kidato cha nne, mastaa mbali mbali walijitokeza kwa wingi wakimkingia kifua mtoto huyu na mmoja wapo alikuwa ni Zamaradi Mketema

Zamaradi alimtia moyo mtoto huyu kwa kumfananisha na billgate kwani hata yeye alofeli na leo ni tajiri wa dunia, ndipo watu kwa Hasira walipovamia page yake na kumwambia asimfananishe paula na Billgate

View attachment 1006398
View attachment 1006399

My take

Mambo yote yanayomkuta huyu mtoto ni kutokana na tabia za mama yake kumchoresha kwenye mitandao angali hata shule Hakumaliza ni vyema angemtuliza tu kimya kimya kuliko kumtangaza tangaza mwishowe watu wamemuanika

Pili zamaradi uache kuandika magazeti ambayo hayana kichwa wala mguu, Billget hakufeli shule yule alikuwa ni Genious ambaye alikuwa na skills za computer kuzidi hadi walimu wake, alifika hadi chuo kikuu bora zaidi duniani na akaacha mwenyewe ili afanye anachokiamini, pia uwakanye hawa mabinti wa skuizi

Mtoto wa kike yupo form two tayari anasmartphone kali , hasomi kazi kukesha mtandanoni akisaka mabwana, unategemea atasoma saa ngapi, na mmoja wao ni huyu paula kutwa nzima kujichoresha yeye na mama yake wamevaa vichupi instagram alafu unasema atakuja kuwa billget?



Sent using Jamii Forums mobile app
Kale ka zamaradi kanajihisi kana upeo ambao hana,ni kamtu flani kanawaaminisha watu hasa wanawake ambao ni vichwa Maji kwamba maisha ni rahisi kwa mifano dhaifu kbs na bahti mbaya anawaingiza chaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi sina shida na huyo mtoto,ila huyo zama sijui.

Huyu mother bogus kweli, nadhani angeendelea kubaki kimya tu.

Bandiko lake always ni kama anaandika kitabu,alafu anatema pumba tu.

Ukimya aliokuwa nao pindi yupo na ruge ilikuwa bora 100x kuliko sasa.

Yaani hata kuishi na mwanamke Wa aina yake huwa nawazaga,ni Bomu kweli kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tena ni Bomu la nyuklia mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona mnampa za uso Zamaradi [emoji23] [emoji23]
Mimi mdogo wangu akifeli nikakuta Kuna jitu linampa haya matango pori Eti sijui nani alifeli ila Sasa hivi ni tajiri, Walahi narara nae mbere[emoji23]
 
Afuate nyayo za Bashite tu, anaweza kununua vyeti akaja kuwa Rais wa mkoa.
 
Sijawahi kuwa impressed na Zamaradi hata siku 1.
Opportunist mzuri tu mchumia tumbo.
Ushauri,sijui taka gani anaandika mwangalie usoni machoni direct ni hamna kitu.
 
Mkuu usipotoshe basi hio Zero ilimpa msoto wa kurisiti hakuna chuo kinachochukua division zero. Jamaa atakua alijipanga kweli kweli hakukata tamaa.
Na ukute ana zero ya form 6 na sio ya form 4 maana ya form 4 mpaka uje ufike chuo kikuu utapiga msoto wa kufa mtu tofauti na aliepata ya form 6 ambao wengi huwa wana akili za darasani tatizo tu walipoenda A-level wakakutana na makundi rika ama wengine wakakuta hakuna walimu mwisho wa siku wakazunguusha lakini cheti cha O-level kikaokoa jahazi tofauti na anaezunguusha form 4 ambapo ukipata D mbili tu katika masomo 10 ama 7 unaitwa umefaulu lakini ukakosa
 
kuna tofauti kati ya kumjua na kumfahamu. Kumjua ni pale mmevua nguo kama mume na mke. Kumfahamu ni ile hamna mahusiano ya kindani. So unamfahamu ila hio ZERO aliisotea akaibadili kuwa division fulani mpaka akafika chuo kikuu. Kama unabisha kamuulize,HAKUNA CHUO AU VYUO VINAVYOPOKEA ZERO MKUU
Nimepotosha nini? Namjua alipata ZERO, na sasa hivi ndio kama ninavyokwambia, labda wewe unamjua kuliko ninavyomjua mimi.
 
Bill gates hakufeli Chuo yule ali drop out baada ya mishe zake kumtinga but recently amerudi Harvard na kugraduate, The essence of poor performance for that kid is her mother's behaviour .
Alafu mtu anamlinganisha na Bill Gates ambae ali drop HAVARD (chuo ambacho ni best ambapo moja kwa moja hata madarasa ya chini anaonekana alikuwa best)
 
IMENIUMA SANA, NARUDIA TENA IMENIUMA SANA KUONA GENIUS, AMERICA'S GREATEST INVENTOR THOMAS EDISON KUITWA KILAZA NA KUFANANISHWA NA MTOTO WA P FUNK MAJANI NA KAJALA WA BIKO(MAARUFU KAMA PAULA KAJALA), IMENIUMA SANA..WEWE ZAMARADI MKETEMA NAOMBA UTUTAKE RADHI WAUMINI WA PHYSICS DUNIANI.
 
Naona mnampa za uso Zamaradi [emoji23] [emoji23]
Mimi mdogo wangu akifeli nikakuta Kuna jitu linampa haya matango pori Eti sijui nani alifeli ila Sasa hivi ni tajiri, Walahi narara nae mbere[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
kuna tofauti kati ya kumjua na kumfahamu. Kumjua ni pale mmevua nguo kama mume na mke. Kumfahamu ni ile hamna mahusiano ya kindani. So unamfahamu ila hio ZERO aliisotea akaibadili kuwa division fulani mpaka akafika chuo kikuu. Kama unabisha kamuulize,HAKUNA CHUO AU VYUO VINAVYOPOKEA ZERO MKUU
Nilichosema kupata Zero sio mwisho wa maisha. Aidha unarudia au unafanya chochote ili ufanikiwe hamna anaejali. Kufeli form 4/6 sio mwisho wa maisha.
Tafsiri unayoIJUA wewe sio tafsiri pekee.
 
Back
Top Bottom