Nelson Mwombeki
JF-Expert Member
- May 2, 2018
- 2,933
- 3,397
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Babaake mwenyewe bangi tuUjuaji wa mama mtoto ndio umemfanya babake awe mbali nae huenda baba angemsaidia angalau kitaaluma...malezi ya masingi mom n ya kipuuuzi kama mtoto alielelewa na bibi tuu..
Kwa mazingira ya Tanzania mtoto wa kike akisha feli shule, amesha feli maisha......Kufeli mtihani sio kufeli maisha na kufaulu mitihani sio kufaulu maisha.
Huyu Zamaradi anatumia kitu kizito sana mtu mwenye akili timamu hawezi kusema Bill Gates darasani alikuwa kilaza, mtu darasani uwe kilaza halafu upate nafasi ya kusoma best unv in world? Like serious?Jay Z hakwenda university ila ana kipaji chake mwenyewe, Mayweather ana kipaji, ila Mo Dewji alipiga elimu, akina Dr Dre walipiga elimu tofauti inajulikana ila cha muhimu uwe na kitu chako binafsi ndo utatoboa dunia hii,
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kwa nchi zengine mtoto wa kike akifeli anaweza kufanya ambako Tz haiwezekani kufanya?Kwa mazingira ya Tanzania mtoto wa kike akisha feli shule, amesha feli maisha......
Huyu Zamaradi sijui katumia Cocaine ya wapi hadi kutoa mlinganisho wa hao alio wataja wakina Bill Gates....
Huyu mtoto wa Kajala aende kwa baba yake akamfundishe kutengeneza beat za mziki na jinsi ya kuvuta bangi
Kwahiyo unailinganisha mazingira ya Tanzania na Marekani... Ww dogo unatumiaCocaine?Kwani kwa nchi zengine mtoto wa kike akifeli anaweza kufanya ambako Tz haiwezekani kufanya?
coco ukiachana na politics upo vzuriNilisoma aliyoandika nikapita kimya kimya nilijisemea kama washauri ndio wanaandika hivi.. bila hata kujifikiria.. kisa kusaka kiki mitandaoni.. basi nchi yetu ina mengi bado ya kusaidia wananchi kama huyo mwandishi..
Atakuambia yeye alisoma hadi chuo na ndio ameandika hayo..
Atakuwa vizuri Ktk sector nyengine lkn sio shuleIla mbona hiyo Four ya 26 sio mbaya saana wengine hata hiyo hatukuipata ..ila kinachouma ni ule u star star wake halafu shule nzuri kama iyo aliosoma halafi kinakuja ki four..daaah kudadeki Ila tuelewe tu kwamba shule sio kwaaajili ya kila mtu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijalinganisha Marekani na Tz,wewe umesema mtoto wa kike akifeli mitihani hapa bongo ni kwamba amefeli maisha wakati wapo ambao wamefanya mambo ya maana japo hawakufaulu mitihani ndiyo nikauliza kwani huko kwengine angefanya nini ambako huku hawezi kufanya hadi useme ameshafeli maisha? kwa sababu tukisema tulinganishe Marekani na Tz basi hata huyo Bill gate pengine asingekuwa hivyo alivyo kama angekuwa mazingira ya Tz.Kwahiyo unailinganisha mazingira ya Tanzania na Marekani... Ww dogo unatumiaCocaine?
Upo high..Sijalinganisha Marekani na Tz,wewe umesema mtoto wa kike akifeli mitihani hapa bongo ni kwamba amefeli maisha wakati wapo ambao wamefanya mambo ya maana japo hawakufaulu mitihani ndiyo nikauliza kwani huko kwengine angefanya nini ambako huku hawezi kufanya hadi useme ameshafeli maisha? kwa sababu tukisema tulinganishe Marekani na Tz basi hata huyo Bill gate pengine asingekuwa hivyo alivyo kama angekuwa mazingira ya Tz.
Acha upuuzi wako. Huwezi pata A na C na D na f moja halafu ukapata four. Wewe hujafika hata sekondari usichangie maana hujui hata kucalculate division pointsHajafeli kivile ana A moja,C moja na D za kutosha F moja. Ana dv 4
Alikua anasoma tusiime
Maana hapo angekuwa na division three ya point 24Hajafeli kivile ana A moja,C moja na D za kutosha F moja. Ana dv 4
Alikua anasoma tusiime
Acha upuuzi wako. Huwezi pata A na C na D na f moja halafu ukapata four. Wewe hujafika hata sekondari usichangie maana hujui hata kucalculate division points
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyo unailinganisha mazingira ya Tanzania na Marekani... Ww dogo unatumiaCocaine?
Hahaakumbuka wali drop Harvard sio udsm they better take a note,havard mtu 1product ya havard tunae hapa tanzania anasumbua sana ,mikataba yote ya upigaji yupo, na hashtakiwi,maana hakuna ushahidi wa kumfunga,anatumia akili,pale hawasomi wajinga ni vichwa tu
Sent using Jamii Forums mobile app
HahaaKwa mazingira ya Tanzania mtoto wa kike akisha feli shule, amesha feli maisha......
Huyu Zamaradi sijui katumia Cocaine ya wapi hadi kutoa mlinganisho wa hao alio wataja wakina Bill Gates....
Huyu mtoto wa Kajala aende kwa baba yake akamfundishe kutengeneza beat za mziki na jinsi ya kuvuta bangi
HahaaKwahiyo unailinganisha mazingira ya Tanzania na Marekani... Ww dogo unatumiaCocaine?