Zamaradi acha kumfananisha Billgate na Mtoto wa Kajala, Unampotosha

Zamaradi acha kumfananisha Billgate na Mtoto wa Kajala, Unampotosha

Watu wanachanganya sana matukio, Bill Gates alikuwa genius aliandika program za computer ambazo hata professor wake hakuwa na idea nazo kwa kipindi hiko, hata Albert Einstein ambaye naye alikuwa kilaza darasani na alikuwa slow kuelewa masomo anayofundishwa naye alikuwa genius, so kutofanikiwa kwa hawa jamaa kwenye madarasa yao ya awali hakufanani na matukio ya wanafunzi wetu, wa kwetu wanafeli kwa kuwa ni pure vilaza, hawataki kusoma, hawana ambition wala ubunifu, akina gates walikuwa wanaacha masomo wakafanye project zao wakazifanikishe, sasa muulize mtoto huyo aliyefeli alikuwa anatumia muda wake kwenye project gani zilizokuwa zinammalizia muda hamna, ni pure kilaza, tuache kuwapa matumaini ya kijinga, wasome waache ufala

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuunga mkono mkuu.


Sisi vijana wa sasa tukiskia watu walofanikiwa na kuskiliza historia zao vifuani mwa watu basi hua tunafkiria kila kitu rahisi.


Laiti tungelijua njia ambazo hao watu waliofanikiwa bas tusingesema maneno ya uozo ya kupeana moyo.




Hata yule ambae alilala akaota anakua billionaire na akaamka akiwa kweli billionaire hio ndoto yake sisi vilaza hatuwezi kuivumilia mpaka kuimalizia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanao kama hana akili hata ukimnyima smartphone atafeli tu.
Lakini kama ana akili atajua muda gani atumie simu na muda gani asome.
Hii ni personal experience sio hadithi za kufikirika.
Nakubaliana na wewe kufeli ni kubaya.
Mkuu nimekuelewa Ila kwa akili nyingi za watoto na ndugu zetu amini mungu simu zinawapotosha.

Mfano ni kwa bro wangu mdogo ana akili ya kusoma ili alishiriki sana simu term ya Kwanza alifanya vibaya na wazee wakamuekea ngumu kwenye sim na wakaanza kumhimiza kwenye masomo amini mungu juzi matokeo yanatoka anafurahia alichokivuna.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilichosema kupata Zero sio mwisho wa maisha. Aidha unarudia au unafanya chochote ili ufanikiwe hamna anaejali. Kufeli form 4/6 sio mwisho wa maisha.
Tafsiri unayoIJUA wewe sio tafsiri pekee.
Kuna ambao walikosa cheti form Four Ila saiv ni captain na ni bwamdogo.



Ila maisha lazima ujitume na ukomae sio rahisi kma wanavyofkiria.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nimekuelewa Ila kwa akili nyingi za watoto na ndugu zetu amini mungu simu zinawapotosha.

Mfano ni kwa bro wangu mdogo ana akili ya kusoma ili alishiriki sana simu term ya Kwanza alifanya vibaya na wazee wakamuekea ngumu kwenye sim na wakaanza kumhimiza kwenye masomo amini mungu juzi matokeo yanatoka anafurahia alichokivuna.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakubaliana na wewe, nimesoma na watu ambao baada ya kupata simu walianza kufeli kwasababu ya addiction hao yapaswa wazuiwe kutumia simu kwa nguvu zote kwa sababu hawana uwezo wa kujitawala.
Kama smartphone na IG ndio imechangia poor perfomance ya Paula basi mzazi ni wa kulaumiwa sababu ni wajibu wake kutambua mapema kama mwanae anaweza kumanage masomo at the same moment using a phone.
 
Huko katika ukurasa wa Instagram baada ya kusemekana kuwa mtoto wa kajala hakuwa na matokeo mazuri katika mtihani wa kidato cha nne, mastaa mbali mbali walijitokeza kwa wingi wakimkingia kifua mtoto huyu na mmoja wapo alikuwa ni Zamaradi Mketema

Zamaradi alimtia moyo mtoto huyu kwa kumfananisha na billgate kwani hata yeye alofeli na leo ni tajiri wa dunia, ndipo watu kwa Hasira walipovamia page yake na kumwambia asimfananishe paula na Billgate

View attachment 1006398
View attachment 1006399

My take

Mambo yote yanayomkuta huyu mtoto ni kutokana na tabia za mama yake kumchoresha kwenye mitandao angali hata shule Hakumaliza ni vyema angemtuliza tu kimya kimya kuliko kumtangaza tangaza mwishowe watu wamemuanika

Pili zamaradi uache kuandika magazeti ambayo hayana kichwa wala mguu, Billget hakufeli shule yule alikuwa ni Genious ambaye alikuwa na skills za computer kuzidi hadi walimu wake, alifika hadi chuo kikuu bora zaidi duniani na akaacha mwenyewe ili afanye anachokiamini, pia uwakanye hawa mabinti wa skuizi

Mtoto wa kike yupo form two tayari anasmartphone kali , hasomi kazi kukesha mtandanoni akisaka mabwana, unategemea atasoma saa ngapi, na mmoja wao ni huyu paula kutwa nzima kujichoresha yeye na mama yake wamevaa vichupi instagram alafu unasema atakuja kuwa billget?



Sent using Jamii Forums mobile app
Watanzania tunatakiwa tuelewe "kufeli sio mwisho wa maisha"
Yeye amefeli mitihani lakini kila mtu katika maisha kuna mahali alisha wahi kufeli
Wangapi walisha feli lakini leo hii hata waliopata 1 hawafikii maendeleo yao.
Mifano mingi ipo hapa tz

Kama ni kweli ana 4 ya 26 ana wide choice.
Kipindi hicho kusoma A levo ilikuwa unaonekana umekamilika tofauti na wanao enda diploma. Lakini ukija ki utendaji walio soma diploma na kuunga degree wana kitu kikubwa wanawazidi walio enda direct.

Dunia imebadilika sanaa.elimu ya darasani haitoshi kukupa mafanikio kwenye maisha
Only basic education na elimu kubwa ya maisha itakufanya ufanikiwe


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watanzania tunatakiwa tuelewe "kufeli sio mwisho wa maisha"
Yeye amefeli mitihani lakini kila mtu katika maisha kuna mahali alisha wahi kufeli
Wangapi walisha feli lakini leo hii hata waliopata 1 hawafikii maendeleo yao.
Mifano mingi ipo hapa tz

Kama ni kweli ana 4 ya 26 ana wide choice.
Kipindi hicho kusoma A levo ilikuwa unaonekana umekamilika tofauti na wanao enda diploma. Lakini ukija ki utendaji walio soma diploma na kuunga degree wana kitu kikubwa wanawazidi walio enda direct.

Dunia imebadilika sanaa.elimu ya darasani haitoshi kukupa mafanikio kwenye maisha
Only basic education na elimu kubwa ya maisha itakufanya ufanikiwe


Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kuishi vizuri na kufanikiwa kimaisha, kuishi vizuri ndo mnamaanisha, ila kufanikiwa kimaisha ni step nyingine sana, mtoto wa kajala anaweza akaishi vizuri km mfano dem wa diamond anaishi vizuri ila hauwez kusema kafanikiwa kimaisha, so km nia ni kuishi vizuri hata haitaji kuwa na elimu yeyote, akitaka kufanikiwa kimaisha anabidi aache michezo michezo afanye elimu yake amalize aongeze upeo wa akili yake elimu ya darasani inasaidia sana kuongeza upeo wa akili binafsi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bill gates, zackburg, na steve jobs waliacha chuo sio kufail. Watu wanatakiwa watofautishe kufail na kudrop out kwa kuacha sio kufail. Dont wait mpaka ufail ndo uanze kukandia elimu, hiyo inakuwa a very lame excuse

Sent using Jamii Forums mobile app
ungekuwa kanisani kwetu.....ningekwambia umenena vyema mtumishi.....yaani wakisha feli ndo waaanza kusema kufeli shule sio kufeli maisha sasa kama walijua mwanzo kwanini alimpeleka shule akapoteza muda wote huo si bora angemtafutia kibanda mwaka wa nne huu angekuwa mbali
 
Zama nae ana nin si type hizo hizo tu....kutumia sehemu za siri kuishi.....
 
Back
Top Bottom