Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono HOJAKiukweli mimi niko nje kabisa ya mada mimi nataka kumvua chupi tu huyo mtoto
mpuuzi mpuuzi tu
Anabanduliwa huyo sister tena na analiwa na makinikia kabisa! Anajua historia za hao anaowataja?Huko katika ukurasa wa Instagram baada ya kusemekana kuwa mtoto wa kajala hakuwa na matokeo mazuri katika mtihani wa kidato cha nne, mastaa mbali mbali walijitokeza kwa wingi wakimkingia kifua mtoto huyu na mmoja wapo alikuwa ni Zamaradi Mketema
Zamaradi alimtia moyo mtoto huyu kwa kumfananisha na billgate kwani hata yeye alofeli na leo ni tajiri wa dunia, ndipo watu kwa Hasira walipovamia page yake na kumwambia asimfananishe paula na Billgate
View attachment 1006398
View attachment 1006399
My take
Mambo yote yanayomkuta huyu mtoto ni kutokana na tabia za mama yake kumchoresha kwenye mitandao angali hata shule Hakumaliza ni vyema angemtuliza tu kimya kimya kuliko kumtangaza tangaza mwishowe watu wamemuanika
Pili zamaradi uache kuandika magazeti ambayo hayana kichwa wala mguu, Billget hakufeli shule yule alikuwa ni Genious ambaye alikuwa na skills za computer kuzidi hadi walimu wake, alifika hadi chuo kikuu bora zaidi duniani na akaacha mwenyewe ili afanye anachokiamini, pia uwakanye hawa mabinti wa skuizi
Mtoto wa kike yupo form two tayari anasmartphone kali , hasomi kazi kukesha mtandanoni akisaka mabwana, unategemea atasoma saa ngapi, na mmoja wao ni huyu paula kutwa nzima kujichoresha yeye na mama yake wamevaa vichupi instagram alafu unasema atakuja kuwa billget?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unawajua kuwa kuna watu wana elimu ya ufunuo?Kumiliki smartphone,kuvaa chupi instagram sio sababu ya kufeli.Kumbuka kuna mabinti hawana
smartphone na hawajui chochote kuhusu instagram lakini wamepata zero as if wametumwa na kijiji.
Trust me kuna mabinti wavaa vichupi instagram,wana mabwana zaidi ya wawili ,wanapiga bangi na pombe balaa lakini darasani wanakimbiza balaa. Bila shaka huyo binti hana akili ya darasani ndio maana kafeli, ila kama ana akili ya maisha atafanikiwa kama Bill gate.
Halafu kuna watu wanashangilia kufeli kwa huyu binti kisa ni mtoto wa star.
Uchawi sio mpaka upae.
Samahani kama nimekukwaza.
USIKU MWEMA.
Itabidi atuwekee screenshot za reault slip au vp?Acha wafarijiane ila asingemtumia billy angejitumia yeye na kumtaka avumilie tu wataibuka akina ruge wengine mbeleni wa kumkomboa.
Nchi nzima wamefeli wengi ila kisa mama biko baasi paula kageuka empty set kila kona.
Kajala abebe mzigo wake tu,wabongo tuna wivu sana nae akazidi kuturusha roho mara birthday hadi video shoot,mikeki ya maana mashauzi kama yote. Baada ya mitihani tulikomaje kila siku ni photoshoots, minguo ya bei mbaya,makeups, viatu,nywele wacha weee
Kumbe zero! Nilijua namba 4 ya kwetu soteMkuu usipotoshe basi hio Zero ilimpa msoto wa kurisiti hakuna chuo kinachochukua division zero. Jamaa atakua alijipanga kweli kweli hakukata tamaa.
Sasa hivi sio kuwajua bali ana perform nao tu. Full kukamata maiki zetuHuyo Paula japo kafeli awe na akili ya Maisha maana kaanza kuwajua wanaume toka enzi za Janjaro yuko msingi huko.
😀😀😀😀 bongo vituko sanaunamfananishaje havard dropout na form four failure wa Tz..huyu demu anaijua havard anaisikia ? kweli Tanzania shule bado sana
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] bongo vituko sana
Celebrities wa kibongo huwa wanaona wameyapati sana maisha na akili zao za kuunga ungaunamfananishaje havard dropout na form four failure wa Tz..huyu demu anaijua havard anaisikia ? kweli Tanzania shule bado sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaahunamfananishaje havard dropout na form four failure wa Tz..huyu demu anaijua havard anaisikia ? kweli Tanzania shule bado sana
Mama anaeyemsuka mwanae wa kiume wa miaka 6 Rasta sijui vipili pili Ni bogus boga empty set hajielewa .Mimi sina shida na huyo mtoto,ila huyo zama sijui.
Huyu mother bogus kweli, nadhani angeendelea kubaki kimya tu.
Bandiko lake always ni kama anaandika kitabu,alafu anatema pumba tu.
Ukimya aliokuwa nao pindi yupo na ruge ilikuwa bora 100x kuliko sasa.
Yaani hata kuishi na mwanamke Wa aina yake huwa nawazaga,ni Bomu kweli kweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Janjaro nasikia alipewa kibano na p funk[emoji1]Huyo Paula japo kafeli awe na akili ya Maisha maana kaanza kuwajua wanaume toka enzi za Janjaro yuko msingi huko.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Janjaro nasikia alipewa kibano na p funk[emoji1]