I hate to say this but level zangu sio za Bongo Movie wala Naija na ndio maana kwa sasa nimeamua kukausha hadi wakati muafaka utakapofika! Na siku au mwaka wowote ukisikia audition infanyika kupitia JF then just know ndo nimeamua kuanza... trust me, team yangu (sio hizi zenu za Team Kiba/Team Chibu) nimekusudia itokee hapa hapa JF; hususani timu ya waigizaji!!!! Halafu nikumegee siri; namtamani sana Le Mutuz coz' my ambition is more in political thriller na sio hizi za akina baba mwenye nyumba kupiga mimba ma-house girl!hahaaaaaa usijali ikifkia hadhi ya movie za kuambiana au kanumba sawaa
I hate to say this but level zangu sio za Bongo Movie wala Naija na ndio maana kwa sasa nimeamua kukausha hadi wakati muafaka utakapofika! Na siku au mwaka wowote ukisikia audition infanyika kupitia JF then just know ndo nimeamua kuanza... trust me, team yangu (sio hizi zenu za Team Kiba/Team Chibu) nimekusudia itokee hapa hapa JF; hususani timu ya waigizaji!!!! Halafu nikumegee siri; namtamani sana Le Mutuz coz' my ambition is more in political thriller na sio hizi za akina baba mwenye nyumba kupiga mimba ma-house girl!
Na labda kingine wasichokijua au wasichotaka kukijua ni kwamba hao Steps wana haki ya kuuza kazi zao hata kwa sh. 500/- na usiwafanye chochote!! Jana nilimsikia mmoja wao akisema kwamba serikali inatakiwa kupanga bei kama inavyofanya kwenye mafuta... hapa tena hawafahamu kwamba inachofanya serikali kwenye mafuta ni kuweka ceiling price... kwamba mathalani, ceiling price ya petrol ni sh. 2000/- kwa maana kwamba mtu haruhusiwi kuuza zaidi ya 2000/- lakini anaweza kuuza hata kwa sh. 1000/- kwa lita... labda alitaka kumaanisha price floor kama ile ya wakulima!!!!!
Hili ndo tatizo kubwa... hafahamu kwamba Profit is a function of Total Revenue and Total Cost! Revenue ikiwa constant na ukakata/ukapunguza gharama za uzalishaji, profit inaongezeka... likewise, cost ikiwa constant na mapato yakaongezeka, profit pia hupanda. Mapato yanaongezeka ama kwa kuongeza bei au kuongeza mauzo... always it's bad idea kuongeza mapato kwa kuongeza bei especially kama kuna close substitutes... na haya ma-DSTv, Zuku, Startimes & Co, ni close substitutes coz' kote huko kuna movie za kibongo; so the best way to increase revenues is through increasing sales... mauzo yanaongezeka kwa ku-cut down price huku ukiongeza unit production! Mambo kama haya Zamaradi hawezi kuyaelewa kwahiyo tusimlaumu...
Lakini tukija kwa upande mwingine, Zamaradi na wenzake wana kila sababu ya kulalamika! Unaposhusha bei kuna two direct effects, mosi ni hiyo ya kujiongezea mauzo but second, ni ku-cut down competition! Si kweli hata kidogo kwamba watakaoathirika na pirates coz' hawa wezi wa kazi za wasanii hawanaa production costs kubwa... all they need to have is just PC a with multiple burners, Disk Printer, a bunch of low quality empty CDs ambazo huuzwa sh. 100/- and cartridges... that's it... kwahiyo hawa hata wakiuza kwa sh. 500/- bado hawapati hasara coz' they don't have movie production cost ambayo akina Zamaradi wanayo! Jibu sahihi ni kwa akina Zamaradi nao kuongeza mauzo through price cut kama walivyofanya Steps lakini suala la kuongeza mauzo nalo is directly related to your distribution channels... hili la distribution channels ndilo litakalokutofautisha wewe na mtu kama Bakhresa endapo leo utaamua kuanzisha a milling business manake unaweza kujikuta unashindwa kusambaza even within Kinondoni wakati mwenzako anafika hadi Kanyigo!
Hahah yani ingekuwa tindikali mtu anaweza kukurushia kwa simu shoga angu hawa watu wa lokesheni wangejisevia leo uso wako, upo lakin?
kichunafk, hilo la kwamba bongo movie bado sana ni kweli kwa 800%... yaani bado sana tu na tuna safari ndefu but don't worry, tutafika tu! Binafsi, ingawaje najitahidi sana kuwaunga mkono lakini sijawahi kuangalia movie ya kibongo mwanzo hadi mwisho kabla haijaniboa!!!! Sometimes wanafanya very stupid mistakes kama lile la jambazi kuvua viatu kabla hajaingia ndani!!!! Yaani hata kama mwenye nyumba aligoma watu kuingia ndani na viatu lakini the whole crew wakakosa kabisa ubunifu wa papo kwa papo kama kutafuta namna ya kuhalalisha jambazi kuingia bila viatu...duuhh! Kaazi kweli kweli.
Ila bongo movie bado sana.
huogopi ???Hata mtitu naye kashikilia hili bango. But this is a free market, sijui hawalioni hilo...
huogopi ???
aisee walimuibiaje? hehehehendio shida ya kuwa na mapresenter madivishen 5, usitegemee analysis ya kisomi toka kwa Zamaradi Mketema.yeye ni bendera fuata upepo angalia hata show yake ya "TAKE ONE" ilivyo ya kimbea mbea, wanaJF hii show ya TAKE ONE Zamaradi na bwana yake RUGE walimwibia IRENE PAUL.
aisee walimuibiaje? hehehehe
huogopi ???
Afu zama zimpendi
we mwenyewe hatukupendi aliyekwambia unapendwa Nani?
Hahahaaaa gubu baya kijana hujaombwa unipende