Zamaradi acha makelele, hamuwezi ku-control kila kitu

Zamaradi acha makelele, hamuwezi ku-control kila kitu

hahaaaaaa usijali ikifkia hadhi ya movie za kuambiana au kanumba sawaa
I hate to say this but level zangu sio za Bongo Movie wala Naija na ndio maana kwa sasa nimeamua kukausha hadi wakati muafaka utakapofika! Na siku au mwaka wowote ukisikia audition infanyika kupitia JF then just know ndo nimeamua kuanza... trust me, team yangu (sio hizi zenu za Team Kiba/Team Chibu) nimekusudia itokee hapa hapa JF; hususani timu ya waigizaji!!!! Halafu nikumegee siri; namtamani sana Le Mutuz coz' my ambition is more in political thriller na sio hizi za akina baba mwenye nyumba kupiga mimba ma-house girl!
 
Mdakuzi na chige nimependa discussion yenu.
Tunahitaji watu wenye uhuru wa mawazo kama ninyi, nikiamini uhuru wa mawazo huja pale unapokuwa na ushahidi sambamba na weledi yakinifu katika kile unachokisimamia. hongereni sana.
 
Last edited by a moderator:
I hate to say this but level zangu sio za Bongo Movie wala Naija na ndio maana kwa sasa nimeamua kukausha hadi wakati muafaka utakapofika! Na siku au mwaka wowote ukisikia audition infanyika kupitia JF then just know ndo nimeamua kuanza... trust me, team yangu (sio hizi zenu za Team Kiba/Team Chibu) nimekusudia itokee hapa hapa JF; hususani timu ya waigizaji!!!! Halafu nikumegee siri; namtamani sana Le Mutuz coz' my ambition is more in political thriller na sio hizi za akina baba mwenye nyumba kupiga mimba ma-house girl!

all the best mine tutakua pamoja
 
Na labda kingine wasichokijua au wasichotaka kukijua ni kwamba hao Steps wana haki ya kuuza kazi zao hata kwa sh. 500/- na usiwafanye chochote!! Jana nilimsikia mmoja wao akisema kwamba serikali inatakiwa kupanga bei kama inavyofanya kwenye mafuta... hapa tena hawafahamu kwamba inachofanya serikali kwenye mafuta ni kuweka ceiling price... kwamba mathalani, ceiling price ya petrol ni sh. 2000/- kwa maana kwamba mtu haruhusiwi kuuza zaidi ya 2000/- lakini anaweza kuuza hata kwa sh. 1000/- kwa lita... labda alitaka kumaanisha price floor kama ile ya wakulima!!!!!

duuhh! Kaazi kweli kweli.
Ila bongo movie bado sana.
 
Hili ndo tatizo kubwa... hafahamu kwamba Profit is a function of Total Revenue and Total Cost! Revenue ikiwa constant na ukakata/ukapunguza gharama za uzalishaji, profit inaongezeka... likewise, cost ikiwa constant na mapato yakaongezeka, profit pia hupanda. Mapato yanaongezeka ama kwa kuongeza bei au kuongeza mauzo... always it's bad idea kuongeza mapato kwa kuongeza bei especially kama kuna close substitutes... na haya ma-DSTv, Zuku, Startimes & Co, ni close substitutes coz' kote huko kuna movie za kibongo; so the best way to increase revenues is through increasing sales... mauzo yanaongezeka kwa ku-cut down price huku ukiongeza unit production! Mambo kama haya Zamaradi hawezi kuyaelewa kwahiyo tusimlaumu...

Lakini tukija kwa upande mwingine, Zamaradi na wenzake wana kila sababu ya kulalamika! Unaposhusha bei kuna two direct effects, mosi ni hiyo ya kujiongezea mauzo but second, ni ku-cut down competition! Si kweli hata kidogo kwamba watakaoathirika na pirates coz' hawa wezi wa kazi za wasanii hawanaa production costs kubwa... all they need to have is just PC a with multiple burners, Disk Printer, a bunch of low quality empty CDs ambazo huuzwa sh. 100/- and cartridges... that's it... kwahiyo hawa hata wakiuza kwa sh. 500/- bado hawapati hasara coz' they don't have movie production cost ambayo akina Zamaradi wanayo! Jibu sahihi ni kwa akina Zamaradi nao kuongeza mauzo through price cut kama walivyofanya Steps lakini suala la kuongeza mauzo nalo is directly related to your distribution channels... hili la distribution channels ndilo litakalokutofautisha wewe na mtu kama Bakhresa endapo leo utaamua kuanzisha a milling business manake unaweza kujikuta unashindwa kusambaza even within Kinondoni wakati mwenzako anafika hadi Kanyigo!

Umemaliza sina nyongeza mrs ruge pita hapa acha kelele zako bila point za msingi!
 
duuhh! Kaazi kweli kweli.
Ila bongo movie bado sana.
kichunafk, hilo la kwamba bongo movie bado sana ni kweli kwa 800%... yaani bado sana tu na tuna safari ndefu but don't worry, tutafika tu! Binafsi, ingawaje najitahidi sana kuwaunga mkono lakini sijawahi kuangalia movie ya kibongo mwanzo hadi mwisho kabla haijaniboa!!!! Sometimes wanafanya very stupid mistakes kama lile la jambazi kuvua viatu kabla hajaingia ndani!!!! Yaani hata kama mwenye nyumba aligoma watu kuingia ndani na viatu lakini the whole crew wakakosa kabisa ubunifu wa papo kwa papo kama kutafuta namna ya kuhalalisha jambazi kuingia bila viatu...
View attachment 213366
 
huogopi ???

ndio shida ya kuwa na mapresenter madivishen 5, usitegemee analysis ya kisomi toka kwa Zamaradi Mketema.yeye ni bendera fuata upepo angalia hata show yake ya "TAKE ONE" ilivyo ya kimbea mbea, wanaJF hii show ya TAKE ONE Zamaradi na bwana yake RUGE walimwibia IRENE PAUL.
 
ndio shida ya kuwa na mapresenter madivishen 5, usitegemee analysis ya kisomi toka kwa Zamaradi Mketema.yeye ni bendera fuata upepo angalia hata show yake ya "TAKE ONE" ilivyo ya kimbea mbea, wanaJF hii show ya TAKE ONE Zamaradi na bwana yake RUGE walimwibia IRENE PAUL.
aisee walimuibiaje? hehehehe
 
aisee walimuibiaje? hehehehe

the whole concept ya "take one" ilikuwa ni ya irene paul, na kama mtakumbuka wakati mawingu tv inaanzishwa wakatangaza kuwa maproducer na wenye idea wazipeleke ili zikafanyiwe mchujo, Irene ndo akaioeleka hiyo concept na alirekodi vipindi kadhaa, as you know wasanii wetu walivyo mambumbumbu wala hata hakusajili COSOTA ili kupata hati miliki ndio hapo akaingia master of the show RUGE akampiga chini Irene na kumpa laazizi wake ZAMARADI. Irene alijaribu kufight lkn as you know chozi la samaki huishia baharini. Clouds TV ni wezi wa kazi za watu.
 
tatizo watu wanalazimisha kufanya biashara wakati hawana uelewa wa biashara,analalamika kuuzwa kwa bei rahisi badala na yeye abuni mbinu za kiushindani anabakia na majungu,huyo biashara haiwezi bora abakie kuwa mtangazaji tu
 
Mdakuzi na chige nimependa discussion yenu.
Tunahitaji watu wenye uhuru wa mawazo kama ninyi, nikiamini uhuru wa mawazo huja pale unapokuwa na ushahidi sambamba na weledi yakinifu katika kile unachokisimamia. hongereni sana.

Pamoja sana mkuu. Nashukuru kwa kuona michango yetu. Nadhani tumesema kwa kiwango cha kufahamu kwetu hili jambo. Tupo pamoja.
Ova
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom