chimbendenga
Senior Member
- Sep 25, 2017
- 121
- 48
Hupaswi kujiamini sana dunia ni uwanja wa mazoezi.Ni wanawake wachache Sana wenye courage ya kufanya alilofanya Zamaradi hasa ukiangalia status ya Ruge. It hurts to let go but sometimes it hurts more to hold on !!! Hongera sana kwake.
Baelezeee tena unaweza kukuta yeye mwenyewe kashazalisha,au kashadunga mtu mimba wakaitoa au kaikimbiaBaadhi ya wanaume humu mnashangaza. Au sijui hamjiamini.dunia ya sasa imebadilika eti huwezi kuoa mwanamke mwenye mtoto. Kweli challenge zipo ila hao wanakuwa wanajitambua.sasa wengine mnavyowazalisha ina maana ndio furaha yenu ndio wakae tu hivyo hivyo? Dunia ya sasa imebadilika.kwanza wanawake siku hizi wanajishuhulisha. Na single mother wengi tu wanaolewa tena.
Tehe tehe tehe imekula kwao si ajabu ndicho kilichokuwa kinampa Ruge kiburi akijua kashamzalisha watoto wawili hawezi olewa, Leo kapewa bonge la suprise ya mwaka[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] akili wamezimalizia chooni!
Kwani Ruge kamanda?Kwani huyo jamaa hapo sio kamanda Ruge?
Tehe tehe tehe itabidi nirudi nyuma nisome comments zoteComment za wanaume humu kichefu chefu kweli.
Miungu watu.
Ningekuwa najua kuweka link humu ningekuwekea aisee maana game of thrones is the best series so far.Nataka kuangalia series ya game of thrones nitumie link basi
Eeh bwana weèee. Inabidi nitafute nicheki kabla sijamaliza my leave.Ningekuwa najua kuweka link humu ningekuwekea aisee maana game of thrones is the best series so far.
Tehe tehe tehe inasemekana ni pacha wa Daiyule bosi ni mali ya umma angesubiri ndoa hadi yesu angefufuka....
Kujifanya wasafiii, hovyo kweli.Tehe tehe tehe itabidi nirudi nyuma nisome comments zote
Tehe tehe tehe wasikuumize kichwa wanadondokeaga pua mara nyingi,hana mtoto lakini wamechoropoa zisizo na idadiKujifanya wasafiii, hovyo kweli.
Tehe tehe tehe wasikuumize kichwa wanadondokeaga pua mara nyingi,hana mtoto lakini wamechoropoa zisizo na idadi
haa haa hadi nachapia!!!....chaaa!!Yesu alishafufuka,tunasuniri arudi [emoji2]
huyo jamaa ana kazi sanaDaaa jamaa jembe sana..
Zama bado yuko clouds, still anafanya kazi kwa bosi aliyekaa nae kwa zaidi ya miaka mitano na kuzaa watoto wawili..
Naanzaje kuamini kwamba papuchi ya wife haitaendelea kuliwa kila inapohitajika na x wake..
Bosi anaujua uvungu wa mkeo kuliko wewe..
Bosi wa mkeo anajua staili zote za mkeo za kukojozwa.. Daaa jamaa ana moyo sana..
Unless amuachishe kazi hapo amfungulie biashara..
Ila kama zama anaendelea kufanya kazi mawingu binafsi hainiingii akilini hata chembe..
All in all mungu si kitwana kondo..
Nimeangalia kwa sababu za kibinadamu zaidi
Kwa nini isiwe vice versa...kwamba ameamua kununua used baada ya kukosa cha maana kule yard.Yaani hapo ni sawa na kununa gari yuzdi wakati mikoko ya mana ipo imetuliaa low maileji.
Mkuu daladala bovu,posho mlima...Tena mwanamke alikua amewekwa ndani zaidi ya miaka mitano, kweli tuko tofauti sana.