Zamaradi ambwaga Bosi wa Clouds, aolewa na mwanaume mwingine!!

Zamaradi ambwaga Bosi wa Clouds, aolewa na mwanaume mwingine!!

Ni wanawake wachache Sana wenye courage ya kufanya alilofanya Zamaradi hasa ukiangalia status ya Ruge. It hurts to let go but sometimes it hurts more to hold on !!! Hongera sana kwake.
Hupaswi kujiamini sana dunia ni uwanja wa mazoezi.
 
Baadhi ya wanaume humu mnashangaza. Au sijui hamjiamini.dunia ya sasa imebadilika eti huwezi kuoa mwanamke mwenye mtoto. Kweli challenge zipo ila hao wanakuwa wanajitambua.sasa wengine mnavyowazalisha ina maana ndio furaha yenu ndio wakae tu hivyo hivyo? Dunia ya sasa imebadilika.kwanza wanawake siku hizi wanajishuhulisha. Na single mother wengi tu wanaolewa tena.
Baelezeee tena unaweza kukuta yeye mwenyewe kashazalisha,au kashadunga mtu mimba wakaitoa au kaikimbia
 
Daaa jamaa jembe sana..
Zama bado yuko clouds, still anafanya kazi kwa bosi aliyekaa nae kwa zaidi ya miaka mitano na kuzaa watoto wawili..
Naanzaje kuamini kwamba papuchi ya wife haitaendelea kuliwa kila inapohitajika na x wake..
Bosi anaujua uvungu wa mkeo kuliko wewe..
Bosi wa mkeo anajua staili zote za mkeo za kukojozwa.. Daaa jamaa ana moyo sana..
Unless amuachishe kazi hapo amfungulie biashara..
Ila kama zama anaendelea kufanya kazi mawingu binafsi hainiingii akilini hata chembe..
All in all mungu si kitwana kondo..
Nimeangalia kwa sababu za kibinadamu zaidi
huyo jamaa ana kazi sana
 
single mothers wana matatizo sana ukiona mwanamke kazalishwa watoto wawili kaachwa ujue ana matatizo
 
Ruge chapa mwingine atotoe viwili waendelee kukulelea vi baby hakuna namna..[emoji12]
 
dahh upande wangu ingeniuma sana kwa alichofanyiwa boss ruge na pia kutokana wadhifa wake
 
Back
Top Bottom