Kwani shida iko wapi? Watoto wala hata walea yeye baba yao Ruge yupoIla wanaume tuna tofautiana yaani kijana hata 40 haujafika unaoa mwanamke mwenye watoto 2 na mwanaume mwingine na unaamini ndoa itakua na furaha na amani, ana roho ngumu huyu dogo
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app