Zamaradi ambwaga Bosi wa Clouds, aolewa na mwanaume mwingine!!

wa

cha unyanyapaa papuche ni papuche
Ndoa sio papuchi tu mkuu! Amani kitu muhimu sana unakuta mtu 24/7 unafuatilia nyendo za wife kwa kutojiamini hata mtoto akiumwa hauamini baba mtoto akiwa anafuatilia afya ya mtoto, Trust me hicho kipengele ndio huwa kinaumiza aka family reunion
 
Ila wanaume tuna tofautiana yaani kijana hata 40 haujafika unaoa mwanamke mwenye watoto 2 na mwanaume mwingine na unaamini ndoa itakua na furaha na amani, ana roho ngumu huyu dogo
Tatizo vijaja wanapenda Kitonga...Full kutekleza na ganda la ndizi.
 
Huyu dada Kama kuolewa ndo kutampa furaha maishani mwake namtakia kila lakheri. Lakini kama angeniuliza..ningemwambia ...Dada kaa chini utulie na ulee watoto wako Mwenyezi Mungu aliokujalia. Kuingia kwenye mahusiano kwenye kipindi Kama hiki ukiwa na watoto wawili tayari....ina changamoto zake. I hope tayari ana mipango yake ya ajira. Maana kama walivyosema wenye lugha Yao........with this development , if true, her position at clouds media group is no longer tenable.
 
Hii ni muv ambayo itatoka soon,..na hivyo ni vipande tu.,.wabongo msipaniki
 
Ila wanaume tuna tofautiana yaani kijana hata 40 haujafika unaoa mwanamke mwenye watoto 2 na mwanaume mwingine na unaamini ndoa itakua na furaha na amani, ana roho ngumu huyu dogo
Muoaji mwenyewe inasemekana nae ana watoto wawili, tena wa kwake wakubwa kupita wa Zama. Hivyo yeye ndio ingependeza angeoa wakati ana watoto
 
Kazaa nae watoto wawili wakati akijua dini tofauri. Nampenda Zama lakini kuna jambo kubwa litamtomtokea huyu dada kwa hiki alichofanya. ni bora angekaa akalea watoto wake wawili angalau wakue kwanza. sema kifo unakifuata mwenyewe hata ukatazwe vipi. Huyu dada alinyanyasa sana wenzie Clouds wakati mapenzi yapo hot na Boss Ruge, mpaka wengine kuachishwa kazi sababu yake. Naona mungu ameamua kumuonyesha na yeye kupitia kwa huyu mume mpya. Lazima na yeye ataisoma namba kama alivyowasomesha wenzie. tusubiri tuone
 
Huyo dume kawadharirisha wanaome wote, unaanzaje kwamfano kulia uku unamiliki mali kubwa, teh teh alafu chombo chako ndo kinarusha voice note walia ,

Ati "Baby naumia nakuwaza toka nje EEE unanisamee"
Ushuzi mtupu mwanaume analia sasa sie wanawake tufanyeje?

Ndo hii haifui mi boxer na inapiga mregezo mxhiuuuuu,
 
Yale ya fisi kusubiri mkono wa mtu udondoke ale.
 
makaburi yanaanza kufukuliwa
 
DAR ITAMUAGA JUMAMOSI: ATAZIKWA BUKOBA. Ndugu Kashasha ambaye ni msemaji wa Familia ya Mutahaba amesema kama mambo yakienda kama yalivyopangwa, mwili wa #RugeMutahaba utawasili jijini Dar es salaam kutokea Afrika Kusini siku ya IJUMAA (March 1/2019). Ikiwa hivyo wakazi wa Dar es Salaam watatoa heshima za mwisho na kumuaga mpendwa wetu siku ya JUMAMOSI (March 2/2019). . . Baada ya hapo: Familia imeamua kwamba Ruge atakwenda kuzikwa nyumbani kwao huko Bukoba siku ya JUMATATU (March 4/2019) (Jumapili mwili utasafirishwa kwenda Bukoba)
 
Ila wanaume tuna tofautiana yaani kijana hata 40 haujafika unaoa mwanamke mwenye watoto 2 na mwanaume mwingine na unaamini ndoa itakua na furaha na amani, ana roho ngumu huyu dogo
Acha hizooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…