Zamaradi ambwaga Bosi wa Clouds, aolewa na mwanaume mwingine!!

Naona hunielewi na huwezi nielewa sijalaumu alichokifanya nimesifu uamuzi wake maana amechagua ndoa amechagua furaha hawezi kuendelea kuzalishwa sababu tu Ruge yuko na hela.
Ndo maana nikakuambia kwa dunia ya sasa ni wanawake wachache sana wanaweza fanya alichofanya zamaradi. Wengine wanakubali kuendelea Kuzalishwa tu Bila ndoa sababu anazalishwa na mtu flani.
It hurts to let go but sometimes it hurts more to hold on.
 
Tena mwanamke alikua amewekwa ndani zaidi ya miaka mitano, kweli tuko tofauti sana.
nimejikausha imenibidi nicheke tu,lakini pia binafsi nahisi hiyo lazima ni bongo movie maana kama haitokuwa movie taamini ule msemo wa THE POSSIBLE IMPOSSIBLE!
 
Nimeongelea kifedha huyo aliyemuoa anaweza akawa hana kama za Ruge kingine kuachana na mwanaume aliyezaa naye watoto wawili na kuamua kumove on si jambo rahisi wanawake wengi wanashindwa hapa take it or leave it.
 
Nimeongelea kifedha huyo aliyemuoa anaweza akawa hana kama za Ruge kingine kuachana na mwanaume aliyezaa naye watoto wawili na kuamua kumove on si jambo rahisi wanawake wengi wanashindwa hapa take it or leave it.
Anaolewa na mtoto wa waziri mkuu Majaliwa,amesema inatosha bac,nampongeza sana,ukiona hapaeleweki just move on
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…