GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Single mama's naona mmeamkaNi wanawake wachache Sana wenye courage ya kufanya alilofanya Zamaradi hasa ukiangalia status ya Ruge. It hurts to let go but sometimes it hurts more to hold on !!! Hongera sana kwake.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ...pale mwanaume anapokuwa chawote[emoji15]yule bosi ni mali ya umma angesubiri ndoa hadi yesu angefufuka....
Ndo mawazo yako yalipoishiaSingle mama's naona mmeamka
Ndio ujue single maza watamu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila wanaume tuna tofautiana yaani kijana hata 40 haujafika unaoa mwanamke mwenye watoto 2 na mwanaume mwingine na unaamini ndoa itakua na furaha na amani, ana roho ngumu huyu dogo
Kweli mkuu kabisa yani kuna watu wnamatatizo ya moyo wanawake walivyo wengi we unaenda kuowa mtu aliye zalishwa kweliIla wanaume tuna tofautiana yaani kijana hata 40 haujafika unaoa mwanamke mwenye watoto 2 na mwanaume mwingine na unaamini ndoa itakua na furaha na amani, ana roho ngumu huyu dogo
Alaaah kumbe status ndio mnaangaliaga kwa mwanaume?Ni wanawake wachache Sana wenye courage ya kufanya alilofanya Zamaradi hasa ukiangalia status ya Ruge. It hurts to let go but sometimes it hurts more to hold on !!! Hongera sana kwake.
Kila mtu ana vipaombele vyake. Soma uelewe nilichoandikaAlaaah kumbe status ndio mnaangaliaga kwa mwanaume?
Naskia mzee mtaalam wa kufungua zipi na kufunga pale clouds 80% wanawake walio ajiliwa pale kesha wafungulia zip