Zamaradi ambwaga Bosi wa Clouds, aolewa na mwanaume mwingine!!

Zamaradi ambwaga Bosi wa Clouds, aolewa na mwanaume mwingine!!

Hahahaha sema wewe.... watoaji mimba siku hizi ni wengi, hapo kwenye kuacha tupo sawa....
Hata tuoane kwa style ipi tufike ndani ya ndoa uniletee figisu najikata mapema.
Wanawake wengine kama wamelogwa familia unalea wewe, mume malaya na kipondo unapokea cha maana ila mkiwa machoni pa watu fake faces mpaka basi na bado tu mtu kakomaa kama aliambiwa akiondoka anakufa.
Ndoa ni zaidi ya tuvionavyo na maisha ni kuishi na kuchagua
Mke wa mtu pia anatogonzwa wanaume wanajisahau akishaoa anajua game over, uwiii mambo yamebadilika
Kiukweli ndoa za zamani zilidumu kwasababu mama zetu walijikaza sana kuhakikisha hawatengani
Ila karne hii ili mahusiano yadumu unahitaji pande zote mbili zijitoe haswaa, huo ndio ukweli

Ila wanaume bado utawasikia wanawake wa siku hizi si wavumilivu, khee umeshasema wa siku hizi cope with it

Kama mwanaume hayupo tayari kutulia aisee bora asioe tu
 
Mke wa mtu pia anatogonzwa wanaume wanajisahau akishaoa anajua game over, uwiii mambo yamebadilika
Kiukweli ndoa za zamani zilidumu kwasababu mama zetu walijikaza sana kuhakikisha hawatengani
Ila karne hii ili mahusiano yadumu unahitaji pande zote mbili zijitoe haswaa, huo ndio ukweli

Ila wanaume bado utawasikia wanawake wa siku hizi si wavumilivu, khee umeshasema wa siku hizi cope with it

Kama mwanaume hayupo tayari kutulia aisee bora asioe tu
Wanasahau it takes 2 to tangle.... na siku hizi watu wana ndoto kibao mtu akiona unamdrain tupa kule..... ndoa sio baba wala mama ya mtu
 
bakibarua ba soudie bataota nyasi tena za bati[emoji23]
 

Attachments

  • PhotoGrid_1506786510036.jpg
    PhotoGrid_1506786510036.jpg
    70.2 KB · Views: 39
Daaa jamaa jembe sana..
Zama bado yuko clouds, still anafanya kazi kwa bosi aliyekaa nae kwa zaidi ya miaka mitano na kuzaa watoto wawili..
Naanzaje kuamini kwamba papuchi ya wife haitaendelea kuliwa kila inapohitajika na x wake..
Bosi anaujua uvungu wa mkeo kuliko wewe..
Bosi wa mkeo anajua staili zote za mkeo za kukojozwa.. Daaa jamaa ana moyo sana..
Unless amuachishe kazi hapo amfungulie biashara..
Ila kama zama anaendelea kufanya kazi mawingu binafsi hainiingii akilini hata chembe..
All in all mungu si kitwana kondo..
Nimeangalia kwa sababu za kibinadamu zaidi
 
Unaelewa maana ya ubaguzi? Nimetaja vitu 3, Umri, idadi ya watoto na ukaribu wa mzazi mwenza! Na kuna watu wameongeza kwamba Zamarad ameolewa sababu Ruge hamuoi na sio kwa sababu mapenzi yameisha! Kama ndoa ni mtonyo na kupendana tu naungana na wewe! Nimeishi muda ulioniwezesha kuona mambo mengi ikiwemo watu wanaooa wanawake wenye watoto zaid ya 1 na baba yupo hai kwa kijana kama huyo hatoufurahia ujana wake, ndoa za hivyo wanaziweza watu ambao tayar walishaoa na wao wana watoto au wazee
Okay nimekupata!
 
Baadhi ya wanaume humu mnashangaza. Au sijui hamjiamini.dunia ya sasa imebadilika eti huwezi kuoa mwanamke mwenye mtoto. Kweli challenge zipo ila hao wanakuwa wanajitambua.sasa wengine mnavyowazalisha ina maana ndio furaha yenu ndio wakae tu hivyo hivyo? Dunia ya sasa imebadilika.kwanza wanawake siku hizi wanajishuhulisha. Na single mother wengi tu wanaolewa tena.
 
Wanaume wa kitanzania mnatia aibu...mwanamke akifanya maisha yake mkaona yanaenda sawa roho zinawauma mpk mnatia huruma! Mara kazaa mara mkubwa ! Wangap madada zenu wamezalishwa nyumbani na mnatamani wapate wenza wao? Ooh mara siwez kuoa mwanamke aliezaa aliyewaambia aliemuoa hana watoto ni nani? Na hata asingekua nao inawahusu? Yaone mmekalia umbea tu na kuumiza roho kwa vitu vicvyo na mcngi..nia yenu ni wanawake wateseke mbaki kuchekelea na kujiona wanaume! Zama hizo zishapita wanawake wameerevuka muda yaan unamwaga mboga wenyewe wanamwaga ugali habari za kubabaikia wanaume mataira hazipo tena! Na mtaumia roho sana mwaka huu! Tena wengine mnakazana kuropoka wakati ni watoto wa nje ya ndoa..km sio mama zenu walizalishwa na kuachwa wakalea wenyewe..mnataka mama zenu wadhihakiwe pia? Shwain kabisa nyinyi akili zote mmezimalizia chooni!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] akili wamezimalizia chooni!
 
Back
Top Bottom