Zamaradi amewaza nini kumhoji Gigy Money?

Zamaradi amewaza nini kumhoji Gigy Money?

Huyu mtangazaji wa Clouds TV, Sielewi hawa watu anaowahoji lengo lake ni nini, naona upumbavu anaoongea Gigy Money kwenye kipindi chake cha Take One, najiuliza kwanini anaruhusu ujinga huu. Nilidhani amejifunza na ile ishu ya yule shoga kumbe bure kabisa
Mdau, kuna vipindi vingi mno vya kufuatilia katika TV, kwanini unapoteza muda kuangalia mambo ambayo yanakukera? Kwa sasa kuna michezo ya olimpiki, ina maana katika michezo yote ile (sarakasi, kuongelea, kandanda, riadha, kurusha tufe na mikuki nk) hakuna hata mmoja unaoupenda?
 
Huyu Zamaradi ataiponza sana Clouds, juzijuzi alionywa kuhusu yule shoga, sasa kaja na huyu Gigy anaongea wanaume alioonja nao uroda anauliza maswali ya ajabu na yeye ataje wanaume aliokula nao uroda kama anadhani ni kitu kizuri, akiendelea ataleta vurugu katika jamii, mambo ya faragha ya mtu si vema kuyauliza hadharani
 
Usawa huu wa Magu watu kama Giggy wataishia kumwegwa na mateja tu afu mwisho wa siku wanaolewa na wakata viuno kama Auty Ezekiel.. Mwanaume na akili zake haingii maeneo yale pale
 
Kwa mda wa miaka yake 19 kuwepo hapa duniani, Gigy Money amekiri kutembea na wanaume ambao hata idadi yake haikumbuki.
Amezaliwa katika familia ya watoto wanne huku kama mtoto akiwa na baba yake, mbaya zaidi mpaka sasa hajawahi kumtambua baba yake.....
Kataja na mastaa aliowapa papuchi
1.Ally Kiba
2 Abdul Kiba
3 Harmonize
4.Hemed Phd

Source... Take one (clouds tv)
 
Kwa mda wa miaka yake 19 kuwepo hapa duniani, Gigy Money amekiri kutembea na wanaume ambao hata idadi yake haikumbuki.
Amezaliwa katika familia ya watoto wanne huku kama mtoto akiwa na baba yake, mbaya zaidi mpaka sasa hajawahi kumtambua baba yake.....
Kataja na mastaa aliowapa papuchi
1.Ally Kiba
2 Abdul Kiba
3 Harmonize
4.Hemed Phd

Source... Take one (clouds tv)
Kuna watu wanazaliwa ili malengo ya shetani yatimie! Huyo binti ni sawa na mwanangu wa kuzaa ila sasa ameishafanya mengi mabaya hapa duniani. Tumwombeeni
 
Kwa mda wa miaka yake 19 kuwepo hapa duniani, Gigy Money amekiri kutembea na wanaume ambao hata idadi yake haikumbuki.
Amezaliwa katika familia ya watoto wanne huku kama mtoto akiwa na baba yake, mbaya zaidi mpaka sasa hajawahi kumtambua baba yake.....
Kataja na mastaa aliowapa papuchi
1.Ally Kiba
2 Abdul Kiba
3 Harmonize
4.Hemed Phd

Source... Take one (clouds tv)
Anatafuta kiki kwa mambo ya kipumbafu life iz too short
 
Hivi hiyo cheni sijui kama hua wanatumia condom.. Mana vijana kwa kuuza mechi
 
Kwa mda wa miaka yake 19 kuwepo hapa duniani, Gigy Money amekiri kutembea na wanaume ambao hata idadi yake haikumbuki.
Amezaliwa katika familia ya watoto wanne huku kama mtoto akiwa na baba yake, mbaya zaidi mpaka sasa hajawahi kumtambua baba yake.....
Kataja na mastaa aliowapa papuchi
1.Ally Kiba
2 Abdul Kiba
3 Harmonize
4.Hemed Phd

Source... Take one (clouds tv)
huyu dada hanaga siri ila ndo mambo ya mujini haya
 
Kwa mda wa miaka yake 19 kuwepo hapa duniani, Gigy Money amekiri kutembea na wanaume ambao hata idadi yake haikumbuki.
Amezaliwa katika familia ya watoto wanne huku kama mtoto akiwa na baba yake, mbaya zaidi mpaka sasa hajawahi kumtambua baba yake.....
Kataja na mastaa aliowapa papuchi
1.Ally Kiba
2 Abdul Kiba
3 Harmonize
4.Hemed Phd

Source... Take one (clouds tv)
Malezi ya wazazi wote wawili ni muhimu sana kwa mustakabali wa watoto
 
Kwa mda wa miaka yake 19 kuwepo hapa duniani, Gigy Money amekiri kutembea na wanaume ambao hata idadi yake haikumbuki.
Amezaliwa katika familia ya watoto wanne huku kama mtoto akiwa na baba yake, mbaya zaidi mpaka sasa hajawahi kumtambua baba yake.....
Kataja na mastaa aliowapa papuchi
1.Ally Kiba
2 Abdul Kiba

3 Harmonize
4.Hemed Phd

Source... Take one (clouds tv)
wanarithishana, HAINAGA USHEMEJI, TUNAKULAGA.
 
ally kiba kiboko anapenda dogodogo mpaka basi kipindi kile lulu alitoka hadharani huku bado hajafika 18
 
Maji hufuata mkondo,mama yake kazaa watoto wanne kila mtoto na baba yake,it tells all
 
Kwa mda wa miaka yake 19 kuwepo hapa duniani, Gigy Money amekiri kutembea na wanaume ambao hata idadi yake haikumbuki.
Amezaliwa katika familia ya watoto wanne huku kama mtoto akiwa na baba yake, mbaya zaidi mpaka sasa hajawahi kumtambua baba yake.....
Kataja na mastaa aliowapa papuchi
1.Ally Kiba
2 Abdul Kiba
3 Harmonize
4.Hemed Phd

Source... Take one (clouds tv)
Yaani Lemutuzi king wa mabebezi hayumo kwenye orodha.....??? Au kaamua kumsitiri mzee mzima???
 
Huyu mtangazaji wa Clouds TV, Sielewi hawa watu anaowahoji lengo lake ni nini, naona upumbavu anaoongea Gigy Money kwenye kipindi chake cha Take One, najiuliza kwanini anaruhusu ujinga huu. Nilidhani amejifunza na ile ishu ya yule shoga kumbe bure kabisa

Hivi kwa nini baadhi ya waTanzania tumekuwa watu wa ajabu sana? kwa nini mnataka watu tuwe na fikra zinazofanana? Hata hao akina Gigy mnaowalaumu ni waTanzania kama mimi na wewe. wana haki ya kusikilizwa just like you and him or her or them. Tuache hizi tabia za kujiona kwamba kuna baadhi yetu ndo tuna maadili au ndo tumehodhi uelewa wa mambo Fulani. Kwanza Gigy na wenzake kama yeye wamekua na uthubutu. Kuna wengi wetu sisi ni wachafu kuliko maelezo. Lakini tunaishi maisha ya uongo uongo.

Unles waTanzania tupewe kitabu standard kinachoonyesha maadili ya mTanzania ni yapi. Hivi kweli Raia million 50 na ushee bado mnataka tuwe na fikra zinazofanana?

I really get disappointed na mawazo mfu kama haya. Anayofanya Gigy chumbani yanakuhusu nini wewe?

Get life! Mjini ni kutafuta siyo kutafutana.
 
Back
Top Bottom