Zamaradi Mketema ameachana na Wasafi Media?

Zamaradi Mketema ameachana na Wasafi Media?

Zamaradi nampenda sana yuko vzuri sana kichwani kuliko ma star wengi wabongo. Naona katulia sasa mana Ruge anaumwa ni vile alienda wasafi ka kumkomoa Ruge. Nakuombea Ruge upone aisee. Zama ka roho ka huruma kamemjia tena
 
Mbona hili suala alishahojiwa na akalitolea ufafanuzi mzuri tu?

Alisema yeye sio muajiwa wa wasafi bali ni partners (sio partners kwa maana ya shares,lah)
Yeye na Wasafi ni partners kwa maana ya kwamba atakuwa anaprovide content,na aliahidi kurejea hewani hivi karibuni.

Alienda mbali zaidi kwa kusisitiza kuwa kwa ‘levo’ aliyofikia ni ngumu kwake kuajiriwa. Kwa maana hiyo amejiajiri kwa yeye kutengeneza vipindi vyake mwenyewe kisha kuingia mkataba na television (kama anavyotaka kufanya na Wasafi)

Hayo mengine mnayoyasema ni vile Watanzania tunajuana,kichwa cha habari tunajiongeza wenyewe. Lol
 
Mbona hili suala alishahojiwa na akalitolea ufafanuzi mzuri tu?

Alisema yeye sio muajiwa wa wasafi bali partners (sio partners kwa maana ya shares,lah)
Yeye ni partners na Wasafi kwa maana ya kwamba atakuwa anaprovide content,na aliahidi kurejea hewani hivi karibuni.

Alienda mbali zaidi kwa kusisitiza kuwa kwa ‘levo’ aliyofikia ni ngumu kwake kuajiriwa. Kwa maana hiyo amejiajiri kwa yeye kutengeneza vipindi vyake mwenyewe kisha kuingia mkataba na television (kama anavyotaka kufanya na Wasafi)

Hayo mengine mnayoyasema ni vile Watanzania tunajuana,kichwa cha habari tunajiongeza wenyewe. Lol
Been missed Nifah
 
Zama atakosa uungwana sana kama atafanya kazi na Watu wanaofurahia masaibu ya Mzazi mwenzake.
 
Mtangazaji wa zamani wa Clouds Media Group, Zamaradi Mketema ambaye baada ya kuvunjika kwa mahusiano yake ya kimapenzi na Mkurugenzi wa CMG, Ruge Mutahaba, alihamia Wasafi Media kuendelea na career yake.

Baada ya uzinduzi rasmi wa Wasafi TV na Wasafi FM, ilitarajiwa mtangazaji huyu mahiri kuanza kuonekana kwenye runinga akiendesha kwa mafanikio kipindi kama alivyokuwa akifanya Take One na kituo chake cha kazi cha zamani.

Tofauti na matarajio ya wengi, ghafla mwanadada Zamaradi ameanza kujiondoa kushiriki kwenye kazi zote zinazohusiana na Wasafi pengine kabla hata ya kuanza. Na kwa tukio la hivi karibuni la Wasafi Festival, hakuonekana kuongelea chochote kama ilivyo ada kwenye projects nyingine za Mwajiri wake huyo mpya.

Sasa, kwa sababu bado hakujatoka official say, naomba kupitia uzi huu tukajaribu kudodosa endapo kuna lolote linaloendelea linalopelekea awe kimya kabisa huku akionekana kuwa busy na shughuli zake nyingine.

Maswali ya shauku;

1. Mgongano wa kimaslahi na kukomoana baina ya Wasafi Media na Clouds Media umemweka njia panda?
2. Hali ya Afya ya mzazi mwenzie (Ruge) imemfanya ashindwe kuvumilia kuhimili vishindo vya kejeli kutoka kwa wanaofurahia anguko lake?
3. Ameshindwana malipo na Wasafi Media?
4. Anaamua kuwa freelancer?
5. Ana mpango wa kurudi Clouds Media Group?

Hayo ni miongoni mwa maswali yanayoweza kutupatia majibu. Na yeye mwenyewe anaweza kuja hapa kuliongelea suala hili ili kuondoa sintofahamu kwa wapenzi wa kazi zake.
Zamaradi hajawahi kuajiriwa Wasafi Tv
Anatengeneza vipindi vya televisheni anauza kwa makubaliano
 
Mbona hili suala alishahojiwa na akalitolea ufafanuzi mzuri tu?

Alisema yeye sio muajiwa wa wasafi bali ni partners (sio partners kwa maana ya shares,lah)
Yeye na Wasafi ni partners kwa maana ya kwamba atakuwa anaprovide content,na aliahidi kurejea hewani hivi karibuni.

Alienda mbali zaidi kwa kusisitiza kuwa kwa ‘levo’ aliyofikia ni ngumu kwake kuajiriwa. Kwa maana hiyo amejiajiri kwa yeye kutengeneza vipindi vyake mwenyewe kisha kuingia mkataba na television (kama anavyotaka kufanya na Wasafi)

Hayo mengine mnayoyasema ni vile Watanzania tunajuana,kichwa cha habari tunajiongeza wenyewe. Lol
Well said.. Lakini bado hoja ipo.


Utakumbukuka wakati wa kuzindua Wasafi TV alitoa sapoti kubwa mno. Uzinduzi wa vipindi vya mwanzoni pia alitoa sapoti ya promo.

Kazi za wasanii wa lebo ya Wasafi nazo alikuwa akizifanyia promo kama kawaida ya team ya pale kusapotiana kwa nguvu.

Swali linakuja; Why hivi karibuni amepiga kimya kabisa kuhusu hii festival na hata kazi mpya za WCB?

Halafu nimekumiss..
 
Mbona hili suala alishahojiwa na akalitolea ufafanuzi mzuri tu?

Alisema yeye sio muajiwa wa wasafi bali ni partners (sio partners kwa maana ya shares,lah)
Yeye na Wasafi ni partners kwa maana ya kwamba atakuwa anaprovide content,na aliahidi kurejea hewani hivi karibuni.

Alienda mbali zaidi kwa kusisitiza kuwa kwa ‘levo’ aliyofikia ni ngumu kwake kuajiriwa. Kwa maana hiyo amejiajiri kwa yeye kutengeneza vipindi vyake mwenyewe kisha kuingia mkataba na television (kama anavyotaka kufanya na Wasafi)

Hayo mengine mnayoyasema ni vile Watanzania tunajuana,kichwa cha habari tunajiongeza wenyewe. Lol
Na wewe ukamuelewa? Kama ni hivyo mbona mwanzo alikuwa nao bega kwa bega? Hapo kajitetea tu ila itakuwa kuna kitu hakiko sawa kati yake na WCB
 
Yupo kimya na anasubiri tu barua...kwasababu ya ile ishu ya kutapeli wanawake wenzie 1000 kupitia magurupu ya WhatsApp, yalikuwa yanaitwa WONDER WOMAN, 1,2,3,4.....

Sasa hao wanawake walichikifanya, ni kutembea na mabwana zake wote....hahahahha...ameipata pata
 
Mbona hili suala alishahojiwa na akalitolea ufafanuzi mzuri tu?

Alisema yeye sio muajiwa wa wasafi bali ni partners (sio partners kwa maana ya shares,lah)
Yeye na Wasafi ni partners kwa maana ya kwamba atakuwa anaprovide content,na aliahidi kurejea hewani hivi karibuni.

Alienda mbali zaidi kwa kusisitiza kuwa kwa ‘levo’ aliyofikia ni ngumu kwake kuajiriwa. Kwa maana hiyo amejiajiri kwa yeye kutengeneza vipindi vyake mwenyewe kisha kuingia mkataba na television (kama anavyotaka kufanya na Wasafi)

Hayo mengine mnayoyasema ni vile Watanzania tunajuana,kichwa cha habari tunajiongeza wenyewe. Lol
Nifah, The Boss yuko wapi?
 
Nahisi #2 inahusika hapo, mtu ukizaa nae ni mkeo/mmeo tayari, ni ngumu kukaa na wanaomkebehi mzazi mwenzio na roho yako ikatulia labda kama upstairs kumevurugika!
Wanao mkebei na yeye aliyevujisha Audio anamlilia nani anastaha
 
Ikiwa contract imekwisha ? Kwanini wabongo mnakuwa vichwa maji? Kwani haiwezi ikawa walikuwa na mukataba na ukawa umeisha ?, tena kumbukeni

Sent from my GT-I9505 using JamiiForums mobile app
 
Na wewe ukamuelewa? Kama ni hivyo mbona mwanzo alikuwa nao bega kwa bega? Hapo kajitetea tu ila itakuwa kuna kitu hakiko sawa kati yake na WCB

Sasa mkuu unataka nisimuelewe Zamaradi nikuelewe wewe?
 
Back
Top Bottom