Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
The Boss au The Bold na wewe mbona unatuchanganyia mafaili
Bora umenisaidia mwenzangu, mie nilijikalia kimya tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The Boss au The Bold na wewe mbona unatuchanganyia mafaili
My little sisy nina shida nitakuja pm tuyajengeBora umenisaidia mwenzangu, mie nilijikalia kimya tu.
My little sisy nina shida nitakuja pm tuyajenge
Ww ni nani ni Habash ama ww ni wale wadada wa leo tena...au ww mchonvuKuishi na Zamaradi ni kazi sana, nitashangaa sana kama atadumu pale wasafi
Mkuu hata hizo story za kusema baba watoto wake yupo hai ama laa lazima zitakuwa zinamchanganya....sio ngumu kupata majibu hapo....Well said.. Lakini bado hoja ipo.
Utakumbukuka wakati wa kuzindua Wasafi TV alitoa sapoti kubwa mno. Uzinduzi wa vipindi vya mwanzoni pia alitoa sapoti ya promo.
Kazi za wasanii wa lebo ya Wasafi nazo alikuwa akizifanyia promo kama kawaida ya team ya pale kusapotiana kwa nguvu.
Swali linakuja; Why hivi karibuni amepiga kimya kabisa kuhusu hii festival na hata kazi mpya za WCB?
Halafu nimekumiss..
Yeah, The Bold...ila pia ni Boss au??The Boss au The Bold na wewe mbona unatuchanganyia mafaili
Kuna member mwingine anaitwa The Boss ndio maana The Bold anabaki kuwa The Bold hivyohivyoYeah, The Bold...ila pia ni Boss au??
Hela za Ruge..Ila huyu mdada ana maisha mazuri. Sijui ana biashara gani
Mlishirikiana?atakaa VP na watu waliomlisha suma baba watoto wake...He who plots to hurt others often hurts himself
Yupo kimya na anasubiri tu barua...kwasababu ya ile ishu ya kutapeli wanawake wenzie 1000 kupitia magurupu ya WhatsApp, yalikuwa yanaitwa WONDER WOMAN, 1,2,3,4.....
Sasa hao wanawake walichikifanya, ni kutembea na mabwana zake wote....hahahahha...ameipata pata
ila pia si ni boss...??? yaana ana hela!!!!!!Kuna member mwingine anaitwa The Boss ndio maana The Bold anabaki kuwa The Bold hivyohivyo
Duuh haya yaishe mkuu nisamehe mimiila pia si ni boss...??? yaana ana hela!!!!!!
Duuh haya yaishe mkuu nisamehe mimi
hahaha hilo jibu sasa basi sawa#wa mjengoni kwani kuna habari gan!Duuh haya yaishe mkuu nisamehe mimi
Karibu sana Ms. Khantwe...malkia wa misitu ya Amazon.Duuh haya yaishe mkuu nisamehe mimi