Zamaradi Mketema aomboleza msiba wa ghafla wa paka wake baada ya kushambuliwa na mbwa

Zamaradi Mketema aomboleza msiba wa ghafla wa paka wake baada ya kushambuliwa na mbwa

Hii dunia hii ! Ukistaajabu ya mussa utaona ya firauni ! Sasa kakosa kiki muda mreefu ! Kaja na stori za kufa paka wake ili iweje ? Tujue kama alikuwa na paka ?? Haya tumeshajua kuwa bado upo ! unatukumbusha kuwa bado upo ! Sawa
 
Maishani mwangu tangu udogoni nimekuulia familia ambazo hazipendi kuishi na wanyama
Ilifikia hatua nawaogopa sana mbwa,paka.sio Mimi tu Hadi wengine.hasa jinsia ya kike sie tukiwaona mbio
Mapaka ya kutosha yalikua yanafugwa na jirani,nlikimbizwa sana na mbwa.
Siku mwaka Fulani jirani anaefuga mapaka akaletewa mbwa,lakini nafasi kwake haimtoshi hapohapo wapita njia,basi fujo tupu.mbwa akawa anahamia uwanja wetu kulala anapata mda wa kupumzika usiku anaingia LINDO.
Mwisho wa siku akahamia kwetu kabisa. Jirani akamsahau.ndipo nilipojua nawaogopa bure
Mbwa ni mtiifu,akikujua na harufu yako akikuzoea Hana shida kabisa,nlipata kujua kumbe wanasmile pia akikuona na kufurahi,ni wastahimilivu hata ukikosa Cha kumpa huwezi Kuta anaparamia masufuria ka paka wa jirani.alikua MKALI sana na Yuko attentive,tukifunga tu mlango ye anakuja kukaa kibarazani.Kupitia huyu mbwa ndio tukajua Kuna kundi la vibaka wameingia mtaani.walikua wanamjeruhi sana ila akiwekewa dawa anarecover.mwisho wa siku wakampa sumu akaja okotwa asubuhi wakamzika.kuna jamaa alikua hampendi anamuonea kinyaa mno,akimuona anamrushia vitu mradi aende huko,mbwa alivyouliwa na nae baada ya week akawa mhanga,alikombwa vitu na vibaka hatasahau maishani mwake,hakujua yule mbwa alikua anamlindia.hatujawahi kuwa na mbwa Tena.
This time paka kifaranga hakina mama naona nae namuelewa ila kufatwafatwa nkiwa nakula sipendi.
 
Sijui kwa nini watu wanachukulia negative, kama umewahi kuishi na mnyama na ukabond nae akifa unafeel maumivu...
Kweli kabisa. Mbwa wetu alikwenda mbali usiku kufuata mademu akachangamana na mbwa wengine wenye kichaa. Ikabidi mzee amuue kwa usalama na maelekezo ya serikali. Ni miaka zaidi ya 30 imepita mama bado anamkumbuka jinsi alivyokuwa akimlaki anaporudi kutoka safari au shamba.
 
Back
Top Bottom