Zamaradi Mketema aweka ujumbe wa siku ya Valentines kwa mumewe kwenye bango Morocco, Dar es Salaam

Hahaha bango limezua jambo...
Kumbe mwanaume kazaa nje anakitoto kichanga huko [emoji28][emoji28][emoji28]

Punguzen show off ona ss mnaumbuliwa na michepuko ya waume zenu
 
Hahaha bango limezua jambo...
Kumbe mwanaume kazaa nje anakitoto kichanga huko [emoji28][emoji28][emoji28]

Punguzen show off ona ss mnaumbuliwa na michepuko ya waume zenu
Kumbe aliyeumbua ni mchepuko[emoji23][emoji23]
 
Kumbe aliyeumbua ni mchepuko[emoji23][emoji23]
Akae kwa kutulia..asidhan yeye ndo anapendwa dunia nzima[emoji1787][emoji1787]
Mdada alijua kututukunisha huyuuuu kwa sie ambao hatukua na cha kutoa kwa wabby wetu[emoji2957]
 
huyu dada sijawahi kumkubali, huwa naona mnafiki sana. tangu arushe zile audio za Ruge, nilimdharau mno.
 
Caption moja ya post ni sawa na gazeti la mwanaspoti lote ana caption ndefu halafu anajifanya motivational speaker
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…