Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe aliyeumbua ni mchepuko[emoji23][emoji23]Hahaha bango limezua jambo...
Kumbe mwanaume kazaa nje anakitoto kichanga huko [emoji28][emoji28][emoji28]
Punguzen show off ona ss mnaumbuliwa na michepuko ya waume zenu
Akae kwa kutulia..asidhan yeye ndo anapendwa dunia nzima[emoji1787][emoji1787]Kumbe aliyeumbua ni mchepuko[emoji23][emoji23]
She is beautiful machoni kwangu. Namjua toka mdogo ni mzuri toka enzi hizoKidemu chenyewe kibaya, suraless, takoless, shapeless, figureless, colorless, brainless, unattractive kabisa..
Sasa only way ni kutafuta kujitangaza, fake sana huyu demu.
Lakini kakuzidi Maisha wewe na Familia yako, endelea kua dalali tu huku mwenzio anampeleka mwanae Vacation Dubai.Kidemu chenyewe kibaya, suraless, takoless, shapeless, figureless, colorless, brainless, unattractive kabisa..
Sasa only way ni kutafuta kujitangaza, fake sana huyu demu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lakini kakuzidi Maisha wewe na Familia yako, endelea kua dalali tu huku mwenzio anampeleka mwanae Vacation Dubai.
huyu dada sijawahi kumkubali, huwa naona mnafiki sana. tangu arushe zile audio za Ruge, nilimdharau mno.Mtangazaji Zamaradi Mketema ametrend sana kwenye mitandao ya kijamii kutokana na kukodi Bango na kuweka ujumbe wa mahaba kwa mume wake kama zawadi ya siku ya valentines.
Bango hilo liko maeneo ya Morocco Dar es Salaam ambayo ni barabara anayopita mumewe kila siku.
View attachment 2118894
Zama amesema kuwa mumewe Bwana Shabani alifurahi sana alipompeleka eneo la tukio hadi machozi kumtoka.
View attachment 2118895
Bango hilo litakaa kwa muda wa mwezi mzima.
Note: Madanga ya shemeji yetu yajipange pamoja na mke mkubwa (kama yupo) mwenzao kawazidi kete bango kuubwa kama tangazo la Condomu.
Dodoma Makao MakuuValentine hii bango wapi?
Ngoja WajeValentine hii bango wapi?
Utakua umetoka kwa mange ww sio bureAcheni wivu
Tuwaonee hurumaaa[emoji1][emoji2][emoji2][emoji1]Acheni wivu
Hahahahuyu dada sijawahi kumkubali, huwa naona mnafiki sana. tangu arushe zile audio za Ruge, nilimdharau mno.
Kuna habari gani tena [emoji23][emoji23][emoji23]Tuwaonee hurumaaa[emoji1][emoji2][emoji2][emoji1]
Mambo ya kuuza nyumba kunnu gari afu anasifiwa mme