Zamaradi Mketema na Ray C warushiana maneno Instagram kisa ni penzi la Ruge!

Zamaradi Mketema na Ray C warushiana maneno Instagram kisa ni penzi la Ruge!

Zama mswahili jamani.........halfu mtoto wake aliozaa na rughe magzeti ya shigongo

hawajui maana wameikaushia kimya kimya wakati ni full udaku.....
 
Wakina mama wa bongo fleva hawaishi vituko kila siku,acheni bongo iitwe bongo.
 
Mwisho wa siku huyu Zamradi ndio kaonekana mjinga kuliko wote kutokana na kutokwa povu mdomoni. Post zote hapo juu za Zamradi kazifuta Instagram which shows baada ya kutulia na hasira/wivu/uswahili kupungua akaona kabisa anaonekana mjinga. Anyway mjanja hapa Ruge maana ndie anaegombaniwa ila yeye mwenyewe kimyaa. I never understand wanawake kwa nini hugombana na wanawake wengine pale mwanaume wao anapo onekana kuwa msaliti. Kama mwanaume ulienae ni mhuni utagombana na wangapi?
 
Hiyo ndio nature ya wanawake...sijawahi kutana na mwenye sijuhi hekima ya kutogombana na mwanamke mwenzie; unagombana na usompenda, hiyo ndio formula na hili kuhalalisha unatafuta excuse kwa unayempenda kama vile karogwa, amejilengesha...etc...huwezi kuelewa women's world

Women are from ...

Mwisho wa siku huyu Zamradi ndio kaonekana mjinga kuliko wote kutokana na kutokwa povu mdomoni. Post zote hapo juu za Zamradi kazifuta Instagram which shows baada ya kutulia na hasira/wivu/uswahili kupungua akaona kabisa anaonekana mjinga. Anyway mjanja hapa Ruge maana ndie anaegombaniwa ila yeye mwenyewe kimyaa. I never understand wanawake kwa nini hugombana na wanawake wengine pale mwanaume wao anapo onekana kuwa msaliti. Kama mwanaume ulienae ni mhuni utagombana na wangapi?
 
Wewe unadhani hawajuhi...udaku wako bias kuna watu hawaandikwi ng'o....washikaji na wenye power kama kina Mengi hawaguswi hata wawe na kashfa gani...

Zama mswahili jamani.........halfu mtoto wake aliozaa na rughe magzeti ya shigongo

hawajui maana wameikaushia kimya kimya wakati ni full udaku.....
 
Ila Ray C angepaswa atulie kwanza...niliangalia kipindi kimoja anahojiwa nikaona baaado dawa hazijaisha mwilini; anaongea kama amelewa.

Atulie kwa sababu hatumuombei vibaya lakini kutoka kwenye uteja si rahisi hivyo; mtaja shangaa amerudi alikotoka; (refer Whitney). Akiingia kwenye ma love conflicts yakimvuruga atarudi kwenye comforter wake ..madawa
 
Ila Ray C angepaswa atulie kwanza...niliangalia kipindi kimoja anahojiwa nikaona baaado dawa hazijaisha mwilini; anaongea kama amelewa.

Atulie kwa sababu hatumuombei vibaya lakini kutoka kwenye uteja si rahisi hivyo; mtaja shangaa amerudi alikotoka; (refer Whitney). Akiingia kwenye ma love conflicts yakimvuruga atarudi kwenye comforter wake ..madawa

Nasubiri unabii wako kutimia kwa hili jambo.
 
Hivi kwa nini watu wakigombana kwa kutupiana maneno inaonekana ni 'Uswahili'? Kwa nini hasa?
 
Huyo wanaemgombea ana ni mtoto? Kama ni mtu mzima basi zama na rayc wakapime akili zao
 
katika hali ya kushangaza zamarad na ray c wamerushiana maneno makali na yamatusi chanzo ikiwa ni ruge wa clouds.hivi ray c ameshamaliza dozi yake kweli?mimi naona wanajishushia hadhi yao waache.
Cc Nyani ngabu.
source instalgram.
 
Mkuu samahani, ndio wakina nani hao na wanahusika na nini.??
 
Hivi kwa nini watu wakigombana kwa kutupiana maneno inaonekana ni 'Uswahili'? Kwa nini hasa?

Watu walio wengi hasa Watanzania walishaweka akilini kua mtu mweusi ni mshamba, muovu, hana uwezo wa kufanya jema ila mtu mzungu ndo mtenda mema na wa kutukuzwa.

Mfano mdogo tu ni pale viongozi wasio waafrika wanapokuja nchini kwetu hufikia hatua hata baadhi ya shughuli zetu husimama lakini haiko hivyo kwa viongozi wetu wanapozuru nchi za hao "wastarabu".

Mkuu Nyani Ngabu, hizo ndo fikra zangu kwa ulichokiuliza na usishangae unaposikia kauli kama "flani bwana ana mambo ya kiswahili sana" kwa maana kua uswahili=uovu.
 
Last edited by a moderator:
Wakuu mbona hakuna sehemu inayoonesha Zamaradi amemtaja Ruge??!naona ni Ray C tu ndio analia lia,huyo teja nae mara hii ameshaanza kuparamia wanaume,ngoja uludi ulipotoka wakipitisha bakuli hatumchangii
 
Back
Top Bottom