Zamaradi Mketema na Ruge Mutahaba waanika mahusiano yao ya kimahaba

Mi hao watangazaji wa clouds wanavojishebeduaga redioni utafikiri ni masupastaa wazuriiii kumbe mweh!
 
Haina haja ya kuyaongelea mahusiano ya watu cause as long wao hawaathiri sehemu ya utendaji kazi wenu just tuwaache wawe huru na mapenzi yao.
 
Watoto wawili. Hata ningekua mimi lazima nijilipue tu. Wafunge ndoa tu sasa kabla hawajachokana.
 
mkuu una ubuyu mzito
 
I dont think it is right kwasababu hujawahi kuprove embu endelea kufanya utafiti mengine ni maneno ya watu tuu kila siku yapo..binafsi namfahamu kidogo huyu jamaaa na sinawasisi kama siyo riziki.
atakua mama kapewa ile kitu ya bukoba special aka kat...r...r...o!!!!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe bosi Ruge kanyang'anywa kazi! Itabidi atafute kazi sehemu nyingine.
 
Ndo kitengo gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…