Zamaradi Mketema ni Mnafiki na Mchochezi Anaanzisha Ma Beef Kati ya Wasanii Kujipandisha Chati!

Nakubaliana na wewe Zamaradi ni mchonganishi hana jipya
 
huyu anawapa stress ili wazee wa sembe wawarubuni kirahisi kubeba sembe.
 

Hata mi nilikuwa confused. Siku zote nilidhani ni mtu mmoja. Bora ulivyotoa ufafanuzi.
 

yeye anacho fanya ni kuhakikisha wasanii husika wametukanana ili aongeze idadi za interview, kwa nini strategy ni kuwagombanisha wasanii ili kupata interview na si kuwapatanisha?
 
SASA HIYO AVATAR ni ya mtu marufu au ni ndugu yenu?
 
sasa acipofanya vile bosi anavyotaka na boci ndo baba mtoto itakuwaje?

Aise kumbe,

Mie sina access na clouds tv, lakini kwenye kipindi cha leo tena kuna kipengele cha muvi leo, katika vipindi kumi na tano anakuwepo kipindi kimoja, nikajiuliza hivi inakuwaje na wadhamini wa kipindi wapo, na mabosi wake hawaoni ama ?

Mimi nikasema kwakuwa anatokea KG, a.k.a mwisho wa Reli basi "amewatuliza"......kumbe dah...

Ila wafanyakazi wa kibongo wanakera, ndio maana wakenya wamejazana....yani hawakosi visingizio...leo atakwambia uso unauma, kesho nywele, keshokutwa usiku ameota ndoto ya kutisha hivyo hajisikii kuingia kazini...yani ilimradi ni shida tupu.
 

Eti amesikia wanagombana anawaita ? kwa hiyo ukimkuta mwanao (14) anaangalia cd ya ngono basi kama noma na iwe noma unamtafutia demu kama ni wa kiume na vice versa ?

Na hii tabia ya kudhani kila kinachofanywa huko mbele ni cha maana sijui mnaitoa wapi, kwa hiyo ukimfumania mumeo amekunjw.a na jamaa, na mumeo akajitetea kwa kusema mbona Elton John anakunjw.a utawaambia waendelee kwa kuwa Elton ni wa mbele a.k.a muingereza ?
 

Alafu wakiishia kuchomana visu sijui atakaa upande gani, au atajifungia chumbani na kuchekelea....
 
clouds hakuna kitu pumba tupu.bado awajajipanga kpnd kama bibi bomba wanawadhalilisha mama zetu .EATV channel ya kijanja

Tena huko kipindi ckipendi kuliko maelezo! Hivi hamna creativity mpaka kuanzisha kipindi cha kudharaulisha mama zetu? You guys sucks
 

Hivi bado mnasikiliza hiki kituo cha redio???????????????????
 
Uhuru wa media, si unatune tv inhine tu kwani mda wote uko kwa clouds tv? Udaku ndio unapendwa sana na watz wengi. Bussiness inaangalia need of customers

Mtazamaji gani sasa anyependa? Aliyeleta huu uzi ndio miongoni mwa watazamaji, na hapendi huo ujinga wake. Na wote wanaochangia ni watazamaji pia lakini nao hawapendi.
 
Mo nampenda venye alivo... Nimemjua toka tukiwa tunafanya audition za c2c that time mwaka 2007... Kipindi chake ni kizuri na io ndo strategy yake.. So shut the ---- up... Kuna tatizo kwani????? Hakuna aliyekulazimisha kutizama take one..

Siku nyingine uwe unawaza kwa kutumia kichwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…