Zamaradi Mketema ni Mnafiki na Mchochezi Anaanzisha Ma Beef Kati ya Wasanii Kujipandisha Chati!

Zamaradi Mketema ni Mnafiki na Mchochezi Anaanzisha Ma Beef Kati ya Wasanii Kujipandisha Chati!

Zamardi hakuna kitu kabisaaaaaaaaa! Anapenda kuwauliza watu maswali ya kuchonoa wenzao ili waropoke afu anawaita waliotuhumiwa waropoke nao! Afu roho yake ndo inarizika. Juzi juzi kaleta beef kati ya Sintah na Shilole kwenye ishu ya kipuuzi! Kipindi chake ushambenga shambenga hakuna hata kinachochangia kwenye jamii! GO BACK TO SCHOOL ZAMA TO LEARN JOURNALISM ETHICS AND VALUES!!!!!!!!!! Juzi kawapambanisha SINTAH na SHILOLE kwa ishu ya upuuzi! Media zitumike kwa mbambo ya msingi!
Nakubaliana na wewe Zamaradi ni mchonganishi hana jipya
 
huyu anawapa stress ili wazee wa sembe wawarubuni kirahisi kubeba sembe.
 
nashkuru umeniuliza
mimi siyo huyo uliemtaja
mimi nilianza tumia hii avatar zamani mno
kabla huo mtandao wa Mange haujawa na members wenye avatar
huyo uliemtaja zamani alikuwa ana kawaida ya kuchukua threads zangu humu
na kwenda kuziweka kule kwa Mange...
so confusion ipo kwa wasiioelewa

Hata mi nilikuwa confused. Siku zote nilidhani ni mtu mmoja. Bora ulivyotoa ufafanuzi.
 
Jamani daDA lara1 HAPO kidogo napingana na wewe,why....ni kwamba ZAMA akisikia hao wasanii wamerushiana vijembe huko kwingine iwe kwenye magazeti ama mtaai ndo nae anawaita ili kuwasikia live kwamba kulikoni....halafu mbona kawaida sana hata mambele mambo hayo yapo na ndo yanayopendwaa na rik la kazi halafu ndo business!....
my take!kwa asiyeipenda Clouds narudia tena kwa mara ya 50 usitune tu sikiliza wapo radio au tumaini why bothering?

yeye anacho fanya ni kuhakikisha wasanii husika wametukanana ili aongeze idadi za interview, kwa nini strategy ni kuwagombanisha wasanii ili kupata interview na si kuwapatanisha?
 
nashkuru umeniuliza
mimi siyo huyo uliemtaja
mimi nilianza tumia hii avatar zamani mno
kabla huo mtandao wa Mange haujawa na members wenye avatar
huyo uliemtaja zamani alikuwa ana kawaida ya kuchukua threads zangu humu
na kwenda kuziweka kule kwa Mange...
so confusion ipo kwa wasiioelewa
SASA HIYO AVATAR ni ya mtu marufu au ni ndugu yenu?
 
sasa acipofanya vile bosi anavyotaka na boci ndo baba mtoto itakuwaje?

Aise kumbe,

Mie sina access na clouds tv, lakini kwenye kipindi cha leo tena kuna kipengele cha muvi leo, katika vipindi kumi na tano anakuwepo kipindi kimoja, nikajiuliza hivi inakuwaje na wadhamini wa kipindi wapo, na mabosi wake hawaoni ama ?

Mimi nikasema kwakuwa anatokea KG, a.k.a mwisho wa Reli basi "amewatuliza"......kumbe dah...

Ila wafanyakazi wa kibongo wanakera, ndio maana wakenya wamejazana....yani hawakosi visingizio...leo atakwambia uso unauma, kesho nywele, keshokutwa usiku ameota ndoto ya kutisha hivyo hajisikii kuingia kazini...yani ilimradi ni shida tupu.
 
Jamani daDA lara1 HAPO kidogo napingana na wewe,why....ni kwamba ZAMA akisikia hao wasanii wamerushiana vijembe huko kwingine iwe kwenye magazeti ama mtaai ndo nae anawaita ili kuwasikia live kwamba kulikoni....halafu mbona kawaida sana hata mambele mambo hayo yapo na ndo yanayopendwaa na rik la kazi halafu ndo business!....
my take!kwa asiyeipenda Clouds narudia tena kwa mara ya 50 usitune tu sikiliza wapo radio au tumaini why bothering?

Eti amesikia wanagombana anawaita ? kwa hiyo ukimkuta mwanao (14) anaangalia cd ya ngono basi kama noma na iwe noma unamtafutia demu kama ni wa kiume na vice versa ?

Na hii tabia ya kudhani kila kinachofanywa huko mbele ni cha maana sijui mnaitoa wapi, kwa hiyo ukimfumania mumeo amekunjw.a na jamaa, na mumeo akajitetea kwa kusema mbona Elton John anakunjw.a utawaambia waendelee kwa kuwa Elton ni wa mbele a.k.a muingereza ?
 
zamaradi ni mtangazaji asiyefikiri kila anacho kifanya maana baada ya kukuza tasnia yeye anakuza beef sijui hili apate faida gani,ni mvivu wa kufikiri pekee anayeweza kuruhusu tv station yake kutumika kutukanana na kukashifiana. na alivyo mvivu wa kufikiri anawapa airtime watukanane
Cha kushangaza zaidi yeye ndiye anasababisha warushiane maneno badala ya kuwasuluhisha.

Wasanii nao wanashindwa kujua kuwa wanagombanishwa.

Alafu wakiishia kuchomana visu sijui atakaa upande gani, au atajifungia chumbani na kuchekelea....
 
clouds hakuna kitu pumba tupu.bado awajajipanga kpnd kama bibi bomba wanawadhalilisha mama zetu .EATV channel ya kijanja

Tena huko kipindi ckipendi kuliko maelezo! Hivi hamna creativity mpaka kuanzisha kipindi cha kudharaulisha mama zetu? You guys sucks
 
Zamardi hakuna kitu kabisaaaaaaaaa! Anapenda kuwauliza watu maswali ya kuchonoa wenzao ili waropoke afu anawaita waliotuhumiwa waropoke nao! Afu roho yake ndo inarizika. Juzi juzi kaleta beef kati ya Sintah na Shilole kwenye ishu ya kipuuzi!

Kipindi chake ushambenga shambenga hakuna hata kinachochangia kwenye jamii! GO BACK TO SCHOOL ZAMA TO LEARN JOURNALISM ETHICS AND VALUES!!!!!!!!!!

Juzi kawapambanisha SINTAH na SHILOLE kwa ishu ya upuuzi! Media zitumike kwa mbambo ya msingi!

Hivi bado mnasikiliza hiki kituo cha redio???????????????????
 
Uhuru wa media, si unatune tv inhine tu kwani mda wote uko kwa clouds tv? Udaku ndio unapendwa sana na watz wengi. Bussiness inaangalia need of customers

Mtazamaji gani sasa anyependa? Aliyeleta huu uzi ndio miongoni mwa watazamaji, na hapendi huo ujinga wake. Na wote wanaochangia ni watazamaji pia lakini nao hawapendi.
 
Mo nampenda venye alivo... Nimemjua toka tukiwa tunafanya audition za c2c that time mwaka 2007... Kipindi chake ni kizuri na io ndo strategy yake.. So shut the ---- up... Kuna tatizo kwani????? Hakuna aliyekulazimisha kutizama take one..

Siku nyingine uwe unawaza kwa kutumia kichwa.
 
Back
Top Bottom