Waje tutaenda nao sambamba tu waache unaafiki
Zamaradi huyu alifanya tuone mabebi zote msingi kende tu Kwa kumuweka Kwa mabango mmewe na Bado haitoshi,kadanganya kannuliwa range na mmewe kumbe bwana kauza nyumba..nyie nyie[emoji3526][emoji3526][emoji119][emoji119][emoji119]maisha ya [emoji119] mtandaoni mabaya sana...!!!mpk kampuni anamsifu mmewe this mmewe that tukitongozwa tunataka waume kama waroli modo wetu au tunawaona waume zetu kama nguruwee vile...chaaa...kumbe mikopo ya mabenki hukoo,wanauza majumba kufurahisha walimwengu..hii Dunia hii acha kabisaaaa