Mkweche II
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 4,160
- 5,793
Yeye alivo weka hawara yake kwenye mabango barabarani,
analizungumziaje?
analizungumziaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ufisadi,wizi,uonevu, unaondoa uzalendo was kizazi chetu na kijacho!!Mtangazaji Zamaradi Mketema amechukizwa na tabia ya Watanzania kutokuwa wazalendo kwenye masuala ya kitaifa hususani kwenye mashindano yanayohusisha nchi na nchi.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram zamaradi amesema,
"Msanii wa NIGERIA akikosa tuzo ama hata kushindwa kwenye shindano lolote unayaona kabisa maumivu ya WANIGERIA, wananchi wao huumia kutoka moyoni, Njoo huku kwetu sasa, MSANII akikosa Tuzo ama shindano lolote ndio unapoishuhudia wazi kabisa FURAHA ya Watanzania, kiufupi kushindwa kwa wasanii wetu ni furaha na Vigelegele kwetu huku vicheko na maneno ya Dhihaka yakisindikiza kushindwa kwao, hivi somo la UZALENDO limekuwa Gumu kiasi hiki Tanzania!!!? WENZETU WAMEWEZAJE!!? Na sisi Tulirogwa na nani!!!??" - Mketema
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1 ✍️
He lifted one man upYeye alivo weka hawara yake kwenye mabango barabarani,
analizungumziaje?
Yeye ndiye anatakiwa atuambie karogwa na nani hadi anafikia hatua ya kuwa chawa wa CCM!Mtangazaji Zamaradi Mketema amechukizwa na tabia ya Watanzania kutokuwa wazalendo kwenye masuala ya kitaifa hususani kwenye mashindano yanayohusisha nchi na nchi.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram zamaradi amesema,
"Msanii wa NIGERIA akikosa tuzo ama hata kushindwa kwenye shindano lolote unayaona kabisa maumivu ya WANIGERIA, wananchi wao huumia kutoka moyoni, Njoo huku kwetu sasa, MSANII akikosa Tuzo ama shindano lolote ndio unapoishuhudia wazi kabisa FURAHA ya Watanzania, kiufupi kushindwa kwa wasanii wetu ni furaha na Vigelegele kwetu huku vicheko na maneno ya Dhihaka yakisindikiza kushindwa kwao, hivi somo la UZALENDO limekuwa Gumu kiasi hiki Tanzania!!!? WENZETU WAMEWEZAJE!!? Na sisi Tulirogwa na nani!!!??" - Mketema
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1 ✍️
MitchellShangaa na wewe ili leo aje aone hatuna uzalendo
Duuuuh kwa hio ndio ikawa hivyo tenaApambane na hali yake. Yeye aliyokua anawafanyia wenzie pale clouds wakati ruge anamlala hakuuona uchawi ule?
Duuuh kumbe ilikua hivi aseeeRuge alipompoteza Zamaradi alifanya jitihada ya kumtafuta na kumpigia simu ambapo kwenye simu hiyo, Ruge alisikika akilia akimuomba Zamaradi asimuache, lakini Zamaradi akavujisha mazungumzo yao na kilio cha Ruge kwa rafiki zake au mitandaoni...Je, Zamaradi alirogwa na nani?
DuuuuhAanzishe kipindi cha Uzalendo kwenye Zamaradi TV yake angesaidia Sana na sio kuja kutugombeza hovyo mitandaoni kama tunaendaga maliwatoni kwake.
Nimeona vibaya au?Stupid prostitute
Mwijaku yule mkongomanj ndio ananya yote hayoMtangazaji Zamaradi Mketema amechukizwa na tabia ya Watanzania kutokuwa wazalendo kwenye masuala ya kitaifa hususani kwenye mashindano yanayohusisha nchi na nchi.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram zamaradi amesema,
"Msanii wa NIGERIA akikosa tuzo ama hata kushindwa kwenye shindano lolote unayaona kabisa maumivu ya WANIGERIA, wananchi wao huumia kutoka moyoni, Njoo huku kwetu sasa, MSANII akikosa Tuzo ama shindano lolote ndio unapoishuhudia wazi kabisa FURAHA ya Watanzania, kiufupi kushindwa kwa wasanii wetu ni furaha na Vigelegele kwetu huku vicheko na maneno ya Dhihaka yakisindikiza kushindwa kwao, hivi somo la UZALENDO limekuwa Gumu kiasi hiki Tanzania!!!? WENZETU WAMEWEZAJE!!? Na sisi Tulirogwa na nani!!!??" - Mketema
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1 [emoji3578]
Ilisikitisha sana...Wanawake wengine nuksi kwelikweliRuge alipompoteza Zamaradi alifanya jitihada ya kumtafuta na kumpigia simu ambapo kwenye simu hiyo, Ruge alisikika akilia akimuomba Zamaradi asimuache, lakini Zamaradi akavujisha mazungumzo yao na kilio cha Ruge kwa rafiki zake au mitandaoni...Je, Zamaradi alirogwa na nani?
Watoto wa Ruge wakikua watakutana tu na hiyo clip ya baba yao akilia huku akimbembeleza mama yao mpendwa, ambayo mama yao akaisambazaIlisikitisha sana...Wanawake wengine nuksi kwelikweli
Balaa kubwa..huyu dada aandae majibu mujarabu kwa watoto maana patawaka moto...Watoto wa Ruge wakikua watakutana tu na hiyo clip ya baba yao akilia huku akimbembeleza mama yao mpendwa, ambayo mama yao akaisambaza