Stream line
JF-Expert Member
- Apr 22, 2015
- 393
- 239
Siku zimepita toka nijionee kipindi kimoja chenye mada ya ushoga. Mrushaji alikuwa zamaladi. Nilimwona siku hiyo na sijawahi kufuatilia vipindi vyake. Baadaye nilisikia viongozi wa TCRA wakiiadhibu clouds tv (tv ya vijana).
Hivi majuzi nimesoma magazeti serikali imepiga marufuku NGO zinazoshughulika na ukimwi, baada ya kugundua madudu wanayoyafanya ktk suala la ushoga. Pia nilisikia pale muhimbili serikali ilichukua hatua kama hiyo baada ya Zamaladi kurusha hewani kipindi hicho - sikujui jina.
MAONI YANGU:
Bila zamaladi NGO hizi zingendelea kufanya hayo.
TCRA msifanye kazi kwa kujitoa akili, hili jambo ni jepesi sana. Msiwe na mazoea ya kuwakatisha waandishi wa habari kama wamejitolea kutuhabarisha yaliyo ya halisi ktk jamii.
Kijana yule wa zamaladi aliiongelea hali halisi. Toka malezi hadi kujitegemea. Kumdhalilisha zamaladi ni sawa na kuzipinga juhudi za kuwasaida watu kama kijana yule.
USHAURI: TCRA iombe radhi clouds tv kwani kwa kutumia tv hiyo leo serikali imegundua hizo NGO na kufikia kuzifuta. Zamaladi uwasamehe TRCA (hawa wana ujuzi wa kutumia mabilioni kwenye vikao) kwani kwa kutumia evidences za NGOz kufungiwa clouds inaweza kufikisha kesi ya madai na udharirishwaji wa Zamaladi.
MWISHO: hongera zamaladi mama shujaa. Umeweza kusaidia kupunguza tatizo la ushoga. Aliyekusikiliza hasa the mamaz wameelimika juu ya kutunza watoto wao.
Asante.
Hivi majuzi nimesoma magazeti serikali imepiga marufuku NGO zinazoshughulika na ukimwi, baada ya kugundua madudu wanayoyafanya ktk suala la ushoga. Pia nilisikia pale muhimbili serikali ilichukua hatua kama hiyo baada ya Zamaladi kurusha hewani kipindi hicho - sikujui jina.
MAONI YANGU:
Bila zamaladi NGO hizi zingendelea kufanya hayo.
TCRA msifanye kazi kwa kujitoa akili, hili jambo ni jepesi sana. Msiwe na mazoea ya kuwakatisha waandishi wa habari kama wamejitolea kutuhabarisha yaliyo ya halisi ktk jamii.
Kijana yule wa zamaladi aliiongelea hali halisi. Toka malezi hadi kujitegemea. Kumdhalilisha zamaladi ni sawa na kuzipinga juhudi za kuwasaida watu kama kijana yule.
USHAURI: TCRA iombe radhi clouds tv kwani kwa kutumia tv hiyo leo serikali imegundua hizo NGO na kufikia kuzifuta. Zamaladi uwasamehe TRCA (hawa wana ujuzi wa kutumia mabilioni kwenye vikao) kwani kwa kutumia evidences za NGOz kufungiwa clouds inaweza kufikisha kesi ya madai na udharirishwaji wa Zamaladi.
MWISHO: hongera zamaladi mama shujaa. Umeweza kusaidia kupunguza tatizo la ushoga. Aliyekusikiliza hasa the mamaz wameelimika juu ya kutunza watoto wao.
Asante.