Zambia anafungwa na Morocco , Tanzania tunamfunga Congo, bado tuna nafasi kubwa tu

Zambia anafungwa na Morocco , Tanzania tunamfunga Congo, bado tuna nafasi kubwa tu

Kama tumeshindwa Kwa Zambia ambae alikua pungufu na mchezo tumeushika mwanzo mwisho ndio ukashinde kwa Congo alie na moto namna ile [emoji848][emoji848] acha masikhara wewe

Amini usiamini
 
Haya ni mambo ya imani na maajabu tz kupenya hatua inayofuata, uhalisia ni kwamba tayari imeyaaga mashindano, hiyo mechi yake na congo ni ya kukamilisha ratiba tu. Hilo kundi F ni morocco na congo ndio zimesonga mbele.
 
Salaam

Imani bado tunayo na ni kubwa mno, makosa tumeyaona na tunaenda kuyafanyia kazi na hatuna haja ya kuwalaumu wachezaji kwani ni sehemu tu ya mchezo na kawaida kwenye mashindano yoyote yalee

Tunapita hatua ya makundi Tanzania bila shaka yeyote

Ilikuwa tusipewe furaha leo na tupewe furaha kubwa mechi ya mwisho, ni bora furaha mwishoni kuliko kufurahi leo alaf kutolewa kwa kufungwa mechi ya mwisho

Nafasi bado tunayo, tuendelee kuiombea timu yetu pendwa TAIFA STARS [emoji1241]
Wewe nae ni mvuta bangi kama wavuta bangi wengine tuu,kwendraaaaaa
 
Haya ni mambo ya imani na maajabu tz kupenya hatua inayofuata, uhalisia ni kwamba tayari imeyaaga mashindano, hiyo mechi yake na congo ni ya kukamilisha ratiba tu. Hilo kundi F ni morocco na congo ndio zimesonga mbele.

Believe or not
 
Mlituambia Zambia ana points zenu 3,leo tena mmehamia kwa DRC!
 
Salaam

Imani bado tunayo na ni kubwa mno, makosa tumeyaona na tunaenda kuyafanyia kazi na hatuna haja ya kuwalaumu wachezaji kwani ni sehemu tu ya mchezo na kawaida kwenye mashindano yoyote yalee

Tunapita hatua ya makundi Tanzania bila shaka yeyote

Ilikuwa tusipewe furaha leo na tupewe furaha kubwa mechi ya mwisho, ni bora furaha mwishoni kuliko kufurahi leo alaf kutolewa kwa kufungwa mechi ya mwisho

Nafasi bado tunayo, tuendelee kuiombea timu yetu pendwa TAIFA STARS [emoji1241]
Hujakosea ndugu nafasi ya kuendelea kushika mkia kwenye kundi F bado tunayo
 
Salaam

Imani bado tunayo na ni kubwa mno, makosa tumeyaona na tunaenda kuyafanyia kazi na hatuna haja ya kuwalaumu wachezaji kwani ni sehemu tu ya mchezo na kawaida kwenye mashindano yoyote yalee

Tunapita hatua ya makundi Tanzania bila shaka yeyote

Ilikuwa tusipewe furaha leo na tupewe furaha kubwa mechi ya mwisho, ni bora furaha mwishoni kuliko kufurahi leo alaf kutolewa kwa kufungwa mechi ya mwisho

Nafasi bado tunayo, tuendelee kuiombea timu yetu pendwa TAIFA STARS [emoji1241]
Jana Zambia tulishamulekeza qibla ilikuwa kusha kisu lakini tukashindwa kumchinjs.
 
Back
Top Bottom