Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi hatuwezi chukua hatua kwa kisingizio tunahudumia nchi 8,sasa wafunge boarder zao ili tuwahudumie vizuri,shame on us
Hatufungi Dar Wala mipaka kwa sababu tunahudumia nchi 8 ikiwemo Zambia,sasa wale wanaohudumiwa wameweka masharti kwamba ili uwahudumie inabidi ujiweke karantine kwa 14 days tena kwa gharama zakoInahusiana nini na fitna?
Uhai wangu ni muhimu kuliko pesa mkuu,sasa kwanini nisifurahi while nahakikishiwa usalamaKwani wakifunga Wewe utafurahi?
Duuh acha weweepesa tunazotafuta kama nchi mwisho wa siku hatutozipata,
wakati wenzetu wamemaliza corona, sisi tutakuwa bado na maambukizi, watatublock kila nchi duniani, tutabaki kama kisiwa kidogo
pesa tunazotafuta kama nchi mwisho wa siku hatutozipata,
wakati wenzetu wamemaliza corona, sisi tutakuwa bado na maambukizi, watatublock kila nchi duniani, tutabaki kama kisiwa kidogo
siwezi kujilockdown mkuu mi ni mwajiliwa wa serikali, kila siku lazima nilipoti kazini,Kaa Wewe Ndani na familia yako
USA licha ya maambukizi kuongezeka ila wanaondoa lockdown
Ninyi si mnataka pesa zao? Sasa mmezikosa na kimbelembele chenu!Sasa sisi watanzania tunaadhirika vipi.mi naona wao ndio wataumia.sisi ahh tunawatazama wao
Najua unaipenda Tanzania sana kutoka moyoni mwako.
Anyway wacha wafunge.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mlisema hamfungi mipaka eti mnawahudumia, sasa hao ndio wanawafungia nyie, maana bora wakose huduma kuliko kuletewa kirusi moja kwa moja.