MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Tutarudi huko akidhihirisha kweli corona inaungua kanisani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutarudi huko akidhihirisha kweli corona inaungua kanisani.
Madhara ya kuwa na viongozi vilaza yanatugharimuSisi hatuwezi chukua hatua kwa kisingizio tunahudumia nchi 8,sasa wafunge boarder zao ili tuwahudumie vizuri,shame on us
Pesa tunazotafuta kama nchi mwisho wa siku hatutozipata.
Wakati wenzetu wamemaliza corona, sisi tutakuwa bado na maambukizi, watatublock kila nchi duniani, tutabaki kama kisiwa kidogo
Corona si ya kuisha leo au kesho hii. zungumzia habari ya chanjo ikitoka.Pesa tunazotafuta kama nchi mwisho wa siku hatutozipata.
Wakati wenzetu wamemaliza corona, sisi tutakuwa bado na maambukizi, watatublock kila nchi duniani, tutabaki kama kisiwa kidogo
kujifukize mkuu ongeza na limao kidogo mr. great thinkerseriously! Hili jukwaa kweli limekuwa la watu walioamua kutotumia akili!
kwa hiyo tuendelee kujifukiza tu?Corona si ya kuisha leo au kesho hii. zungumzia habari ya chanjo ikitoka.
Tutaathirika kwa namna moja au nyingine, moja ya sababu ya nchi yetu kugoma kufunga mipaka yake katika kipindi hiki ni kukwepa athari ya kiuchumi. Sasa wale tunaoona ni wateja wetu nje ya mipaka ya nchi yetu wameanza kugomea huduma zetu! Mteja akisusa, utamhudumia nani? Diplomasia zaidi inahitajika juu ya suala hili la Covid-19.Sasa sisi watanzania tunaadhirika vipi.mi naona wao ndio wataumia.sisi ahh tunawatazama wao
Kwani wakifunga Wewe utafurahi?
Hip tremendous increase inayozungumzwa katika barua hii ndo hii 284 cases au kuna figure nyingine?
Natamani mganga wa kienyeji aisome hii comment yako Mkuu pengine atafanya maauzi yenye busaraPesa tunazotafuta kama nchi mwisho wa siku hatutozipata.
Wakati wenzetu wamemaliza corona, sisi tutakuwa bado na maambukizi, watatublock kila nchi duniani, tutabaki kama kisiwa kidogo
Shida covid 19 braza. Usitafute mchawi. Fungeni milango hao hao wanakuja.Vitaa za madereva wa Tanzania na Zambia hizo. Naona serikali ya Zambia imeingia kichwa kichwa kwenye mzozo na kuwapa back up raia wake (Madereva). Wanataka madereva wa Zambia ndio waendeshe hizo gari za IT kutoka Boda kuingia Zambia. Wakati mkataba wa kutoa gari ya IT unamtaka dereva aitoe gari Dar port hadi Zambia. Bifu ndio iko hapo.
Mbona jana wametangazwa kupitia SMZ!Ngoma inaanza kunoga.Afu vipi wagonjwa hawatangazwi tena?Ama hakuna maambukizi mapya?
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya sasa halafu sisi tunafichwa wakati hali ni mbaya mbaya kwelikweliZambia imetoa sababu kuwa kutokana na kuongezeka kwa visa vya korona nchini Tanzania