Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,271
Wacha mipaka ifungwe ili Magufuli atueleze hizo nchi 8 alizopanga kuzihudumia wakati wa Corona ni zipi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha mipaka ifungwe ili Magufuli atueleze hizo nchi 8 alizopanga kuzihudumia wakati wa Corona ni zipi
Huyo jamaa mwenyewe anajiita Sijijui. Kazi ipo.Kwani wakifunga Wewe utafurahi?
Kwani Nani alikuambia lockdown itakaa mileleWabongo ni wavivu balaa, yaani mijamaa badala ya kupiga kazi inawaza ilale ndani..
nchi zote walio kaa ndani wataondoa hiyo lockdown yao tu hakuna namna, ujerumani wanaforce shule zifunguliwe mwezi huu kama siyo week hii
Mashushu wao wamesha watonya Tanzania hali mbaya sana ili ndio hivyo tumezoa kudanganywa
Kuadhirika-Kupata aibuHujui Kiswahili? Eti tuna adhirika, sema tunaathirika
Achana na hao kunguni watakuchosha tu bure hawana chochote wanachokijuaMsiwe mnaimba tu kama kasuku. Ni US ya wapi imeondoa lockdown?
Kuna States chache sana, nadhani 5 tu ambazo wanafikiria kupunguza kiwango cha lockdown na siyo kuondoa kabisa. Katika States hizo, shughuli chache sana wanataka ziruhusiwe kuendelea.
Hata hivyo white House imeweka vigezo vya State kuruhusiwa kuondoa lockdown, na kigezo kikuu ni kwamba cases za maambukizi ni vifo viwe vinapungua mfululizo kwa wiki 2. Mpaka sasa hakuna State ambayo imetimiza sharti hilo.
Watu sijui wanaokota wapi hizi habari kwamba US imeondoa lockdown! Mtu hajui chochote, lakini anataka kuonesha anajua kwa kuwadanganya watu.
Soma hapa kuweza kujua masharti ya kuondoa lockdown US
US states weeks away from being able to lift lockdowns, model shows
Sent using Jamii Forums mobile app
Japo Watz hulia sana dhidi ya Kenya, lakini naona wamefungiwa na majirani wote hadi wale wao huwaita ndugu wa damu kule SADC, hii yote imetokana na kukaidi kwao kuchukua tahadhari na kuendelea kushupaza shingo huku wakishikilia mambo yasiyo na misingi ya kisayansi, ndugu zetu mtaendelea kutengwa sana kwenye hili la kuogelea ndani ya kirusi huku mkikaidi taratibu zilizoshauriwa na wataalam duniani.
WHO wamewasema sana kwa hili la ukaidi.....
![]()
Huo ni uongo, the curve has flattened kwa sasa, wanaondoa hatua kwa hatua, hawafungulii nyuki kama huku kwetuKaa Wewe Ndani na familia yako
USA licha ya maambukizi kuongezeka ila wanaondoa lockdown
Plan ya kuondoa Lockdown ilikuwepo wakati wanaweka Lockdown, aim ilikuwa kuflatten curve ya maambukizi halafu wana ease Lockdown.Wabongo ni wavivu balaa, yaani mijamaa badala ya kupiga kazi inawaza ilale ndani..
nchi zote walio kaa ndani wataondoa hiyo lockdown yao tu hakuna namna, ujerumani wanaforce shule zifunguliwe mwezi huu kama siyo week hii
Out of order soma vizuri hiyo baruaVitaa za madereva wa Tanzania na Zambia hizo. Naona serikali ya Zambia imeingia kichwa kichwa kwenye mzozo na kuwapa back up raia wake (Madereva). Wanataka madereva wa Zambia ndio waendeshe hizo gari za IT kutoka Boda kuingia Zambia. Wakati mkataba wa kutoa gari ya IT unamtaka dereva aitoe gari Dar port hadi Zambia. Bifu ndio iko hapo.
Nk majimbo matatu tu ambayo absicallly ni asilimia ndogo ya USA.Kaa Wewe Ndani na familia yako
USA licha ya maambukizi kuongezeka ila wanaondoa lockdown
Wenzetu wakimaliza corona? Duuh! Hivi mkuu hukuwahi kujiuliza kwa nini nchi kubwa za dunia ya kwanza zilishindwa kuzuia ugonjwa huu usingie kwao then wakasubiri uingie ndio wafungie watu ndani?Pesa tunazotafuta kama nchi mwisho wa siku hatutozipata.
Wakati wenzetu wamemaliza corona, sisi tutakuwa bado na maambukizi, watatublock kila nchi duniani, tutabaki kama kisiwa kidogo
Sio 'pumbafu' ni pumbavu...mwisho wa siku utaonekana wewe ndiye unaestahili hili tusi unalomtukana mwenzio🤣🤣
Hata hili litapita kama EbolaTutaathirika kwa namna moja au nyingine, moja ya sababu ya nchi yetu kugoma kufunga mipaka yake katika kipindi hiki ni kukwepa athari ya kiuchumi. Sasa wale tunaoona ni wateja wetu nje ya mipaka ya nchi yetu wameanza kugomea huduma zetu! Mteja akisusa, utamhudumia nani? Diplomasia zaidi inahitajika juu ya suala hili la Covid-19.