Mambo mengine yakitokea wanaoathirika ni wananchi wa hali ya chini kabisa
Chukulia mfano mrahisi tu kwa sasa kuhusu bei ya sukari ,yaani wanaoathirika ni wale watu wenye vipato duni kabisa
Muda mwingine muweke utaifa mbele na sio kushabikia ujinga wenu
Chukulia mfano mrahisi tu kwa sasa kuhusu bei ya sukari ,yaani wanaoathirika ni wale watu wenye vipato duni kabisa
Muda mwingine muweke utaifa mbele na sio kushabikia ujinga wenu