Wakenya ndio wamesababisha wakulima wetu kuwa na maendeleo we uoni enzi ya JK nyumba za nyasi zilikuwa zikifutika nchini kwa Kasi ya 4G sababu ya plate number za Kenya.
Gari za friji za Kenya zinaingia shambani zinapatikia matunda unapewa pesa cash au walikuwa wanachumbia mazao yaani kabla ya kuvuna wanakupa chako nusu wakija kuvuna unamaliziwa hela yako.
Mazao Sio Mali ya serikali mkulima haruhusiwe kuuza popote atakapo.
Tunaishi kwa kutegemeana misimu ya mavuno,thus yakiadimika mazao nchini yanaletwa toka nchi zingine.
Kwani ujaona parachichi toka Burundi,ujaona embe toka Mombasa, ujaona Michele toka India na Pakistan.