mwanyaluke
JF-Expert Member
- Jan 22, 2015
- 704
- 2,435
nafanya biashara ya vyakula na nafaka natoa tanzania kwenda zambia na malawi , natoa malawi na zambi kuleta tanzania kutegemea na msimu na soko linataka nini, nikufundishe kitu ili usiwe mjinga tena na usimlaumu bashe na serikali yake fahamu haya 1. zambia wana mkataba na kenya wa kulima na kuziana mahindi na soya , hivyo kwa hofu ya mahindi kuadimika kwao n kumbuka wanazalisha kidogo kulinganisha na sisi hivyo wanAzuia kutoka huko kuja bongo ili kumnufaisha mkenya 2. zambia kun uhaba sana wa chakula kwa miaka miwili na bahati mbaya serikali ya zambia haipo sawa kiuchumi kwa sababu ya madeni mAkubwa waliyonayo so hawana akiba ya kutosha kwenye maghara ya serikali hivyo wanahofu mahindi yakiwa expoerted to tanzania na nchi nyingine rwanda , congo na kenya watakuwa na akiba ndogo sana ya chakula kwa kuhofia hilo wana ban mahindi , tanzania hatuna shida ya uhaba kwenye maghara ya serikali so acha wakulima wauze mahindi popote na sisi tutayanunua popote n kupeleka popote