Regulations za kuwaonea wakulima manamba wa watu wa mijini ?? Au ?? Mkulima anaweza akaja mjini akapanga bei ya kununua dawa kwa ajili ya familia yake ??!!Mambo huwa hayaendi hivyo, hizo kauli za kudai "mkulima aruhusiwe kuuza chakula popote" ni za kisiasa na haziwezi kupata nafasi kwenye nchi ambazo wapo makini na uchumu wake.
Regulations ni lazima ziwepo.
Sio sahihi kuruhusu wageni waende moja kwa moja vijijini kwa wakulima kununua chakula huko ni kutengeneza uhaba na ongezeko la bei.Njaa mnajitakia wenyewe, kulima hamtaki, ardhi ipo ya kutosha. Wengine wakilima muwapangie bei how? Mnajua ametumia gharama kiasi gani? Mwache auze ambako anaona atarudisha pesa aliyowekeza.
Nachokataa ni kunipangia bei na mahali pa kuuza wakati hujui gharama kiasi gani nimetumia, na bei unayonipangia gharama zangu zitarudi ama la. Anayetetea kupangiwa bei ya kuuza mazao na serikali huyo sio mkulima. Akalime na yeye kama anadhani kulima ni rahisiSio sahihi kuruhusu wageni waende moja kwa moja vijijini kwa wakulima kununua chakula huko ni kutengeneza uhaba na ongezeko la bei.
Binadamu wana mgawanyiko wa majukumu Haiwezekani wote tukafanya shughuli moja hivyo hiyo hoja yako ya kusema ukitaka bei ndogo ya mazao ukalime hayo ni majibu mepesi kwa mtu asiyefikiri sawa sawa.
Wanazuia kwa sababu kwa sasa hawana nafaka za kutoshaKwa hiyo zambia wameamua kokomaa wakenya wasipate mahindi, kama wametoa vibali kwa nini wayazuie?
Hii nchi ina upuuzi mwingi sanaNilishangaa sana kuona wakenya wanatembea mashambani kununua nafaka, nikabaki najiuliza hivi huu ni utaratibu gani?? Tanzania ni nchi ya ajabu sana. Zambia wanaangalia maslahi ya nchi yao hawana walamba asali kama huko TZ, yanapokuja maslahi ya nchi Rais unatakiwa kuwa na kauli.
Tafuta shamba ukalime ujue uchungu wa kulima.Viongozi wetu hasa yule Bashe asiyekuwa na lepe la aibu wala chembe ya Uzalendo wanaruhusu wageni kuingia mpaka uvunguni mwetu kununua chakula chote sisi tubakie na njaa.
Wananunua hapa wanapeleka nje halafu wanarudisha tena kutuuzia kwa bei juu.
Huyu Bashe hatufai .
Ila kwakua mwenye mamlaka anatukomesha anaendelea kumfuga tu.
Shida nini si Ina motivatedNilishangaa sana kuona wakenya wanatembea mashambani kununua nafaka, nikabaki najiuliza hivi huu ni utaratibu gani?? Tanzania ni nchi ya ajabu sana. Zambia wanaangalia maslahi ya nchi yao hawana walamba asali kama huko TZ, yanapokuja maslahi ya nchi Rais unatakiwa kuwa na kauli.
Wanafanyiwa hujuma tu wao ndio wanaotoka jasho.Hata wakulima wa KAHAWA kule Kagera wanaruhusiwa kuuza uganda?
Tunataka mkulima anufaike kupitia kazi yake ili kupunguza idadi ya machinga na bodaboda mijini.Mambo huwa hayaendi hivyo, hizo kauli za kudai "mkulima aruhusiwe kuuza chakula popote" ni za kisiasa na haziwezi kupata nafasi kwenye nchi ambazo wapo makini na uchumu wake.
Regulations ni lazima ziwepo.
Nazani ni wakati wa Kaunda au Chiluba,kuna kipindi ungaa wa ugali ulipanda bei kidogo tu, wananchi hao barabarani wamegoma, hadi unga ukashuwa bei na kurudi bei ya zamani hapohapo!!!Kwa hiyo zambia wameamua kokomaa wakenya wasipate mahindi, kama wametoa vibali kwa nini wayazuie?
Rais keshapewa chake,yeye akae pembeni watu wapige kazi!!!Nilishangaa sana kuona wakenya wanatembea mashambani kununua nafaka, nikabaki najiuliza hivi huu ni utaratibu gani?? Tanzania ni nchi ya ajabu sana. Zambia wanaangalia maslahi ya nchi yao hawana walamba asali kama huko TZ, yanapokuja maslahi ya nchi Rais unatakiwa kuwa na kauli.
We mrundi tulia la sivyo tutakupiga patresheni urudi kwenu bujumburaWakenya ndio wamesababisha wakulima wetu kuwa na maendeleo we uoni enzi ya JK nyumba za nyasi zilikuwa zikifutika nchini kwa Kasi ya 4G sababu ya plate number za Kenya.
Gari za friji za Kenya zinaingia shambani zinapatikia matunda unapewa pesa cash au walikuwa wanachumbia mazao yaani kabla ya kuvuna wanakupa chako nusu wakija kuvuna unamaliziwa hela yako.
Mazao Sio Mali ya serikali mkulima haruhusiwe kuuza popote atakapo.
Tunaishi kwa kutegemeana misimu ya mavuno,thus yakiadimika mazao nchini yanaletwa toka nchi zingine.
Kwani ujaona parachichi toka Burundi,ujaona embe toka Mombasa, ujaona Michele toka India na Pakistan.
Huna shamba wewe.demolisher said:Tafuta shamba ukalime ujue uchungu wa kulima.
Tunataka mkulima anufaike kupitia kazi yake ili kupunguza idadi ya machinga na bodaboda mijini.
Kwani hizo Sio kazi na haziwezi Inua uchumi,kilimo kikilipa watarejea vijijini kulima na kupunguza population mijini.
Sio kutwa nzima mtu anazurura mtaani anauza soksi au tai moja tu haya ni matumizi mabaya ya nguvu kazi nchini.
Kilimo kikilipa waote watarejea shamba wakabomoe visiki
Regulations za kuwaonea wakulima manamba wa watu wa mijini ?? Au ?? Mkulima anaweza akaja mjini akapanga bei ya kununua dawa kwa ajili ya familia yake ??!!
Hayo magari yanayozunguka mashambani jeMkulima hana lolote analonufaika nalo kwenye utaratibu huo mpaka sasa, hizi ni propaganda za wafanyabiashara. Mkulima atabaki vilevile, kama ilivyo sasa.