Zambia ndiyo nchi salama zaidi Afrika?

Zambia ndiyo nchi salama zaidi Afrika?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Hii nchi ya Zambia sijawahi kusikia kuna waasi, matukio ya kigaidi wala vurugu za kisiasa. Hata chama tawala kiliachia madaraka wapinzani kwa amani kabisa. Je hii ndiyo nchi salama zaidi Afrika?
1704012525555.png
 
Yes zambia 🇿🇲 ipo safi, demokrasia imetamalaki sana, uchumi wao unakua kwa kasi nzuri tu,wametambua DRC ndio future ya Africa kiuchumi na wanaitumia vema, wamejenga OSBP kati yake na Botswana na Zimbabwe, ni hii imerahisisha sana kuvuka kwenye hizi borders, na mwisho welldone kwa kuondoa checkpoints za kisumbufu, madereva wa malori ,pit stops zetu za kulala ni kwenye check points za jeshi, sasa wewe haribikiwa na gari hapo lugalo barracks!,utajuta kuzaliwa!!
 
Back
Top Bottom