Zambia: Rais Hichilema aagiza magari ya kifahari yauzwe ili kulinda uchumi wa nchi

Kwanza wananchi hivyo sio vipaumbele vyao.
Wao wako buzzy kupinga ushoga na usagaji.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hilo nalo ni tatizo badala ya kujadili mambo ya msingi.

Wanadili na petty issues. Mambo ya chumbani kwa watu.

Nchi ya ajabu sana hii.

Hapa Kuna mambo mengi ya msingi yameshapoa na upepo.
 
Ndio upeo wa vijana wa CCM ulipoishia hapa, this tells more kuhusu wewe! Pumbavu sana na chama chenu cha Mashoga
Wenzako wameolewa Ulaya hadi hawataki kurudi umebakia wewe

USSR
 
Wenzako wameolewa Ulaya hadi hawataki kurudi umebakia wewe

USSR
Ona huyu mbwa, mmeshindwa hoja mnakuja na matusi! Katiba mpya, Mbowe yuko huru, Lissu karudi, na mengine ambayo CHADEMA wameyaweza, ndio yanawapa msongo wa mawazo mmebakia matusi!

Anyway, siongei na mbwa naongea na mwenye mbwa
 
Hilo nalo ni tatizo badala ya kujadili mambo ya msingi.

Wanadili na petty issues. Mambo ya chumbani kwa watu.

Nchi ya ajabu sana hii.

Hapa Kuna mambo mengi ya msingi yameshapoa na upepo.
Na serikali inawajua wananchi wake, basi inapita mule mule.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haya ni maamuzi ya kujenga popularity tu. Used car utapata Tsh ngapi ukiuza? Na hizo fedha je zitaweza kuikwamua Zambia kiuchumi?

Ningemuelewa kama angesema tu hatuendelei kuagiza tena magari ya anasa kwa ajili ya Serikali
Gari moja mil 300 mara magari 40 hayo magari ukiuza mil 150 mara magara 40 hujajenga zahanati ambayo itadumu vizazi na vizazi?
 
Analalamika ,wenzie wanataka vieteli yeye analalamika 😁😁
 

Kweli kabisa wenye akili mara nyingi hawaingii kwenye siasa matokeo yake wajinga wanaoingia kwenye siasa ndio wanakuja kuwatawala wenye akili!! Nchi inayooongozwa na wajinga haiwezi kuendelea!
 
Hapo kwenye kuyauza napo tutegemee upigaji tu.
 
Hebu imagine Sokwe la hapa Bongo liache kula kiyoyozi ati kwasababu ya kubana matumizi?

Haitakuja kutokea kwenye huu msitu wa ndezi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…