Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majamaa zetu mazuzu sanaBro ukienda Botswana na Namibia utaona maendeleo makubwa, lakini wako kimya kabisa.
Ila waKenya wakifanya kidogo tu, kelele dunia nzima.
Majamaa zetu mazuzu sana
Kuna mshikaji alienda Lusaka alinambia kuna malls kila kona mm nikahisi ananijaza tu...sasa kitu kama unavyoona lakin wenyewe wako kimya...Hawa nyumbu as jubilee wanakelele sana na vyombo hawana
if u say so!But still Zambia has more malls than your country.
Facts no printer. Maisha ya domo domo squad ni ngumu.
| Rank | Country | Value | Year |
|---|---|---|---|
| 1 | Nigeria | 90,385,380.00 | 2016 |
| 2 | Egypt | 41,358,560.00 | 2016 |
| 3 | South Africa | 36,505,690.00 | 2016 |
| 4 | Dem. Rep. Congo | 33,868,360.00 | 2016 |
| 5 | Algeria | 28,953,740.00 | 2016 |
| 6 | Morocco | 21,407,720.00 | 2016 |
| 7 | Ethiopia | 20,400,760.00 | 2016 |
| 8 | Tanzania | 17,958,710.00 | 2016 |
| 9 | Ghana | 15,424,000.00 | 2016 |
| 10 | Sudan | 13,459,570.00 | 2016 |
| 11 | Côte d'Ivoire |
Bullsh*t. Where is the data Nigger?But still Zambia has more malls than your country.
Darasani mlisoma naye wapi? Kwenye ndoto yako pengine. Jamaa kasomea Aeronautical Engineering huko China. Wewe ulisomea kijitonyama high school.Am proud of this guy. Darasani tulikuwa tunamwita Ghana Baby . Na chuo alijulikana kwa jina hilo.. safi sana naona katusua kwnye channel yake .. wode maya mwanangu nakumiss sana
Hapa umefunga uzi, ila ving'ang'anizi watakomaa tu, Afrika hii labda Misri na Afrika Kusini ndio level yetu.
Tatizo la kenya cause of the superiority mentality hawajawahi kufikiria kwamba kuna nchi nyingine yoyote kwenye black Africa inaweza kuwapita kwa chochote, zaidi ya South Africa na Nigeria. Watu walioendelea kama SA, Botswana na Angola wako humble sana.
Halafu wakenya hawajielimishi kimachoendelea sehemu nyingine bila ku-realize wana lag behind kwenye mambo mengi. Wakenya wengi washomba sana. Kuna mkenya mmoja alikuja Europe akawa analinganisha Nairobi na miji mingine ya East Africa na akasifia Nairobi cause ina magari mengi na heavy traffic jam kwenye rush hours!!! Kwa hiyo yeye traffic jam ni alama ya maendeleo ya jiji!!! Nilimuelewesha kwamba hiyo ni alama ya dysfunctionality, kwamba mji una tatizo kubwa hakuweza kubadili mtizamo wake kutoka kuona jam kama tatizo badala ya sifa!!
Wakenya wengi hawana exposure wakiwepo wanaochangia hapa JF!!