Zambia wana malls nyingii na hawajisifu kama hawa jamaa zetu wa Kenya

Zambia wana malls nyingii na hawajisifu kama hawa jamaa zetu wa Kenya

It is stereotyping. Ni rahisi kudai kuwa Wakenya wanajisifia sana kuliko Botswana, Angola etc. Kinachokufanya uamini hivyo ni kuwa una-interact na Wakenya zaidi kuliko watu kutoka nchi nyingine.
Another thing; huyo blogger ana-promote channel yake, unachukulia kila alichokisema ni gospel truth?

Mi na interact na wote. Mi mtu international si kama wewe!! Uliza mtu yoyote East Africa atakwambia Kenyan attitude. Kwa materials mlikimbiza kidogo huko nyuma your time is now over!!!

By the way, JF wangeanzisha forum ya "Rwanda News and Politics" tu discuss mambo positive ya maendeleo rather than kusikiliza sifa hewa za Kenya.

Yaani watu wanajisifia mpaka wanadanganya their whole nation kwamba wana the biggest budget in East Africa only to realize hawana fedha!!!! Sijui hii english inawasaidia nini!!
 
There is no data presented to show that Lusaka has more malls than Nairobi.
A quick search tells me that their biggest mall, Levy, is half the size of Nairobi's Two Rivers mall.

The video shows less than 10 malls. Residents approximate Lusaka has like 30 malls.
A quick Google search tells you Nairobi has over 100 malls of varying sizes. About 5 of which are bigger and grand than any mall in Tanzania.

So, please move this thread to the LDC section, because that's where Tanzania and Zambia belong.
Sasa ww embe nyonyo nikuulize ....hizo mall 100 Za NBO mbona hazijaonekana na wageni? Hyo Ni quick research tu na kama umeona mall zazidi kujengwa na wako kimya...
 
Sasa ww embe nyonyo nikuulize ....hizo mall 100 Za NBO mbona hazijaonekana na wageni? Hyo Ni quick research tu na kama umeona mall zazidi kujengwa na wako kimya...

Kaa LDC kwako, wacha kuuliza maswali ya kijinga.
 
Mi na interact na wote. Mi mtu international si kama wewe!! Uliza mtu yoyote East Africa atakwambia Kenyan attitude. Kwa materials mlikimbiza kidogo huko nyuma your time is now over!!!

By the way, JF wangeanzisha forum ya "Rwanda News and Politics" tu discuss mambo positive ya maendeleo rather than kusikiliza sifa hewa za Kenya.

Yaani watu wanajisifia mpaka wanadanganya their whole nation kwamba wana the biggest budget in East Africa only to realize hawana fedha!!!! Sijui hii english inawasaidia nini!!

Sawa mtu international🤣🤣🤣
 
Huku botwasna wangehamia wa tz basi kelele zingekua nyingi sana ila wenyewe wametulia tuliii
 
Watu walioendelea siku hizi wanaachana na habari za mi malls, wanamaliza manunuzi online. For the most part.

Nyie bado mnashangilia na kushindana kwa namba za mi malls?

Tena ambayo inauza zaidi vitu ambavyo hamjatengeneza?

Ulimbukeni gani huu?

Kiranga; Watanzania tuna definition ya ajabu sana ya maendeleo.
 
Kiranga; Watanzania tuna definition ya ajabu sana ya maendeleo.
Ulimbukeni umezidi.

Na hapo ni baada ya miaka kibao ya hotuba na vitabu kutoka watu kama Nyerere walioeleza vizuri sana dhana ya maendeleo.

Dr. Shivji katika kuadhimisha uhuru kakumbusha vijana wasome historia.

Kwa mitazamo kama hii ya kushindana kwa malls, tuna safari ndefu.
 
Ulimbukeni umezidi.

Na hapo ni baada ya miaka kibao ya hotuba na vitabu kutoka watu kama Nyerere walioeleza vizuri sana dhana ya maendeleo.

Dr. Shivji katika kuadhimisha uhuru kakumbusha vijana wasome historia.

Kwa mitazamo kama hii ya kushindana kwa malls, tuna safari ndefu.

Kabisa. Kuna mtu hapa anawabeza Wakenya kwa "kuwa na malls chache" anasahau kuwa kuna international companies nyingi tu zina regional offices Kenya. Anasahau kuwa online business ndio mpango mzima dunia ya leo.
 
Hahaha....created a thread bragging about malls? In this day and age? Really?

We Kenyans sometimes wonder what is wrong with Tanzanians. But then, there is a reason this map exists.
Africa-UN.jpg
 
Back
Top Bottom