Zambia wana malls nyingii na hawajisifu kama hawa jamaa zetu wa Kenya

Zambia wana malls nyingii na hawajisifu kama hawa jamaa zetu wa Kenya


Bro ukienda Botswana na Namibia utaona maendeleo makubwa, lakini wako kimya kabisa.

Ila waKenya wakifanya kidogo tu, kelele dunia nzima.
Tatizo ushamba mwingi.

Hapa JF Kenya section si kule vijiweni ambako mtu yeyote anaweza ku claim kitu bila ushahidi...... How big is Lusaka? Lusaka mji mdogo kwahivyo ukitembea unaweza kuona kila kitu kwa siku mmoja... So ni rahisi kusema ni city of malls kwasababu kila kona ndani ya mahali padogo unapatana na mall...... Try go through all the malls in Nairobi, I guarantee you, hautamaliza kuzizunguka na siku moja...


Hizi hapa takwimu za mallas in Africa (Outside of South Africa)

By 2016:

2. Nairobi, Kenya ilikua na 391,000 square meters of retail mall space.
3. Windhoek, Namibia - 260,000 sq.m
4 Gaborone, Botswana 247 sq.m
..
..
7. Lusaka, Zambia 149,000 sq.m


1629722813288.png



Kwahivyo licha ya hio Video, Zambia wako mbali sana kulinganisha na Nairobi hata kama wako mbele ya Dar! Na ikiwa mtadai eti 2016 ni mbali kwahivyo sahii wametupiku kwa malls, jua kwamba by 2016, bado Kenya ndo ilikua inaongoza kwa ujenzi wa malls mpya...

1629723354581.png




Kwahivyo Zambia ni size yenu Dar, sisi tuwachie tupambane na kina Egypt
 
Hapa JF Kenya section si kule vijiweni ambako mtu yeyote anaweza ku claim kitu bila ushahidi...... How big is Lusaka? Lusaka mji mdogo kwahivyo ukitembea unaweza kuona kila kitu kwa siku mmoja... So ni rahisi kusema ni city of malls kwasababu kila kona ndani ya mahali padogo unapatana na mall...... Try go through all the malls in Nairobi, I guarantee you, hautamaliza kuzizunguka na siku moja...


Hizi hapa takwimu za mallas in Africa (Outside of South Africa)

By 2016:

2. Nairobi, Kenya ilikua na 391,000 square meters of retail mall space.
3. Windhoek, Namibia - 260,000 sq.m
4 Gaborone, Botswana 247 sq.m
..
..
7. Lusaka, Zambia 149,000 sq.m


View attachment 1904905



Kwahivyo licha ya hio Video, Zambia wako mbali sana kulinganisha na Nairobi hata kama wako mbele ya Dar! Na ikiwa mtadai eti 2016 ni mbali kwahivyo sahii wametupiku kwa malls, jua kwamba by 2016, bado Kenya ndo ilikua inaongoza kwa ujenzi wa malls mpya...

View attachment 1904924



Kwahivyo Zambia ni size yenu Dar, sisi tuwachie tupambane na kina Egypt

🤣🤣🤣
Inategemea na speed unayotumia kuzunguka mji.
 
Tatizo la kenya cause of the superiority mentality hawajawahi kufikiria kwamba kuna nchi nyingine yoyote kwenye black Africa inaweza kuwapita kwa chochote, zaidi ya South Africa na Nigeria. Watu walioendelea kama SA, Botswana na Angola wako humble sana.

Halafu wakenya hawajielimishi kimachoendelea sehemu nyingine bila ku-realize wana lag behind kwenye mambo mengi. Wakenya wengi washomba sana. Kuna mkenya mmoja alikuja Europe akawa analinganisha Nairobi na miji mingine ya East Africa na akasifia Nairobi cause ina magari mengi na heavy traffic jam kwenye rush hours!!! Kwa hiyo yeye traffic jam ni alama ya maendeleo ya jiji!!! Nilimuelewesha kwamba hiyo ni alama ya dysfunctionality, kwamba mji una tatizo kubwa hakuweza kubadili mtizamo wake kutoka kuona jam kama tatizo badala ya sifa!!

Wakenya wengi hawana exposure wakiwepo wanaochangia hapa JF!!
wee!!! litanzania unasifia zambia kwani ndo kwenu? hvi una akili kweli?? sisi Kenya tunatamba kanda ya Africa Mashariki na kati wewe unatupeleka kusini? Ndo maaana hamkukusoma shule za uelewa zaidi ya kukariri siasa ya ujamaa eti ndo njia pekee!! mwee!!

sababu kila kitu mitanzania hamuelewi mpaka ufafanuzi weeee!! hivi huoni hata Lissu alipotunguliwa aliponea kwa Madaktri wa wapi?? si mna hospitali hapo tena kuubwa nyingi tu!!

Km haitoshi mumemuua Rais wenu, kizembe kabisa!! atrial fibrillation siyo ugonjwa wa kumuua mtu!! mkubwa mwenye tabibu maalum!! tuwasahihisha mnaleta ubishi! jua kabisa kibera ya Nairobi, ni km oysterbay yenu hapo bongo!
 
Its well known ndanganyika is not a naco state but they play a role in logistics
 
wee!!! litanzania unasifia zambia kwani ndo kwenu? hvi una akili kweli?? sisi Kenya tunatamba kanda ya Africa Mashariki na kati wewe unatupeleka kusini? Ndo maaana hamkukusoma shule za uelewa zaidi ya kukariri siasa ya ujamaa eti ndo njia pekee!! mwee!!

sababu kila kitu mitanzania hamuelewi mpaka ufafanuzi weeee!! hivi huoni hata Lissu alipotunguliwa aliponea kwa Madaktri wa wapi?? si mna hospitali hapo tena kuubwa nyingi tu!!

Km haitoshi mumemuua Rais wenu, kizembe kabisa!! atrial fibrillation siyo ugonjwa wa kumuua mtu!! mkubwa mwenye tabibu maalum!! tuwasahihisha mnaleta ubishi! jua kabisa kibera ya Nairobi, ni km oysterbay yenu hapo bongo!
Mbona hii lafudhi yako ni ya kitanzania?
 
Hapa JF Kenya section si kule vijiweni ambako mtu yeyote anaweza ku claim kitu bila ushahidi...... How big is Lusaka? Lusaka mji mdogo kwahivyo ukitembea unaweza kuona kila kitu kwa siku mmoja... So ni rahisi kusema ni city of malls kwasababu kila kona ndani ya mahali padogo unapatana na mall...... Try go through all the malls in Nairobi, I guarantee you, hautamaliza kuzizunguka na siku moja...


Hizi hapa takwimu za mallas in Africa (Outside of South Africa)

By 2016:

2. Nairobi, Kenya ilikua na 391,000 square meters of retail mall space.
3. Windhoek, Namibia - 260,000 sq.m
4 Gaborone, Botswana 247 sq.m
..
..
7. Lusaka, Zambia 149,000 sq.m


View attachment 1904905



Kwahivyo licha ya hio Video, Zambia wako mbali sana kulinganisha na Nairobi hata kama wako mbele ya Dar! Na ikiwa mtadai eti 2016 ni mbali kwahivyo sahii wametupiku kwa malls, jua kwamba by 2016, bado Kenya ndo ilikua inaongoza kwa ujenzi wa malls mpya...

View attachment 1904924



Kwahivyo Zambia ni size yenu Dar, sisi tuwachie tupambane na kina Egypt
Ukweli usio pingika., na kwa sasa ni zaidi..,
 
Mbona hii lafudhi yako ni ya kitanzania?
kwa hiyo mutanazania hasemi ukweli? siyo wakenya wote hawajui kiswahili, hivi jaluo wa shirati au mkurya wa bongo, hata sukuma gang mwita kiaro wanajua kiswahili wale si bora wakenya?
 
kwa hiyo mutanazania hasemi ukweli? siyo wakenya wote hawajui kiswahili, hivi jaluo wa shirati au mkurya wa bongo, hata sukuma gang mwita kiaro wanajua kiswahili wale si bora wakenya?
Nimeuliza kuhusu lafudhi, sio ulicho sema., yaani speech..., tone of your writing., kwani wewe ni kukurupuka tu na jibu kabla ya kuelewa unacho ulizwa? Mbona unajishuku kama umeandika ukweli ama la? sijapinga ama kukubaliana na ulicho andika😂😂, Pengine ungesema hivi; "mimi ni mtanzania" bila haya, ama "nimeishi na watanzania," ama " naishi kwa mpaka ya Tanzania"., hehehe.,
swali ilikua mbona lafudhi yako ni kama ya kitanzania? Maandishi...,
 
Nimeuliza kuhusu lafudhi, sio ulicho sema., yaani speech..., tone of your writing., kwani wewe ni kukurupuka tu na jibu kabla ya kuelewa unacho ulizwa? Mbona unajishuku kama umeandika ukweli ama la? sijapinga ama kukubaliana na ulicho andika😂😂, Pengine ungesema hivi; "mimi ni mtanzania" bila haya, ama "nimeishi na watanzania," ama " naishi kwa mpaka ya Tanzania"., hehehe.,
swali ilikua mbona lafudhi yako ni kama ya kitanzania? Maandishi...,
Ni kosa kisheria! kumpangia jibu muulizwa! mkuu Lafudhi ni sehemu ya Lugha muanana! umejuaje nimejishuku? au umesema tuu! km hujakubaliana wala kupinga, ume respond nini sasa!!

Kuna wakenya, wazaire weeengi wanaongea kiswahili kizuri, kuliko watanzania!! tatizo lenu wabongo mnaangalia wajaluo, wakikuyu , wakamba nk, MOmbasa, kisangani,kampala nk hampagusi! unaona hapa umedhani mie mtanzania! jua kenya , uganda rwanda , Burundi, ethiopia somalia nimekaa sana,

tena wanaongea kiswahili si kawaida! TZ kiswahili bomba kiko, Tanga, DSM pekee!!! RTD ingekuwa Moshi au singida mngeyamba kifukuto. Kenya Voic of Nairobo iko bara!!! siyo pwani, RTD iko pwani kwa wazaramo!! mfayulu
 
Majamaa zetu mazuzu sana
Kuna mshikaji alienda Lusaka alinambia kuna malls kila kona mm nikahisi ananijaza tu...sasa kitu kama unavyoona lakin wenyewe wako kimya. Hawa nyumbu as jubilee wanakelele sana na vyombo hawana
Nakujaza Tena mkuu Zambia sio Malls Kuna SHOPRITES za kufa mtu mi nilipita kwaka Jana 2022 Dec 3. Na hayo ndo maduka yao sio ya hapa Dar kwa kina mangi nipe maji ya Hill😅
 
Back
Top Bottom