Zambia wana malls nyingii na hawajisifu kama hawa jamaa zetu wa Kenya

Zambia wana malls nyingii na hawajisifu kama hawa jamaa zetu wa Kenya

He is talking about "on the world", not "in the world".

That alone should give you a clue.
Look at your keypad. If letters I and O are next to each other, then you shouldn't have given it a lot of thought like you have
 
With or without Starbucks, life goes on. People are still living.

We grow coffee in Tanzania. We can drink our own coffee.

It’s not like without Starbucks there won’t be coffee to drink.

Furthermore, even if Starbucks were to open in Tanzania, I doubt it’ll be a success.

Why? Because, why would anyone pay an arm and a leg for a cup of coffee when they probably can buy a whole can of coffee for the same price or lower and would last for weeks or even months...

Ok. LDC
 
Darasani mlisoma naye wapi? Kwenye ndoto yako pengine. Jamaa kasomea Aeronautical Engineering huko China. Wewe ulisomea kijitonyama high school.

We mpuuzi nimesoma nae HANKONG DAXUE , shenyang liaoning iko Daoyi mtaa, kwa kingereza inaitwa SHENYANG AEROSPACE UNIVERSITY . Pumbavu wewe
 
Darasani mlisoma naye wapi? Kwenye ndoto yako pengine. Jamaa kasomea Aeronautical Engineering huko China. Wewe ulisomea kijitonyama high school.

And mind you soma profile langu iam a fukin computer engineer niliyosomea new delhi nikaja kuipiga tena zaid China , nina exposure nzuri sana na Wode Maya kaja bongo kakutana zenji na washikaji kibao tu wa class pimbi wewe , unaona ishu kuona video youtube . Watu tumesoma chuo na watoto wote wa viongoz wa sasa wa bongo hii pimbi weweeeee . Na kote ndio hivyo. Unadhani wew unaishi kibera
 
Darasani mlisoma naye wapi? Kwenye ndoto yako pengine. Jamaa kasomea Aeronautical Engineering huko China. Wewe ulisomea kijitonyama high school.

Alafu check the place niliyoko sasa hivi ninavyoenjoy kaubaridi fala wewe ... msikae mnadharau watu ,
IMG_3488.JPG
IMG_3488.JPG
 
Darasani mlisoma naye wapi? Kwenye ndoto yako pengine. Jamaa kasomea Aeronautical Engineering huko China. Wewe ulisomea kijitonyama high school.

And THIS WAS MY FKN ENROLLMENT FORM YA CHUO, soma hapo chuo kinaitwaje ???? Mpuuzi wewe , mtu anakuambia fresh tu unaleta dharau, tuachage kudharau watu na kuanza kuappreciate ... chuo kina course zote . Mind u next time u can suk my Dk
IMG_3489.JPG
 
And mind you soma profile langu iam a fukin computer engineer niliyosomea new delhi nikaja kuipiga tena zaid China , nina exposure nzuri sana na Wode Maya kaja bongo kakutana zenji na washikaji kibao tu wa class pimbi wewe , unaona ishu kuona video youtube . Watu tumesoma chuo na watoto wote wa viongoz wa sasa wa bongo hii pimbi weweeeee . Na kote ndio hivyo. Unadhani wew unaishi kibera
Hii imekuingia hadi tundu la nyuma. Unamwaga matusi kwa sababu nimesema ukweli.
 
Zambia itakuwa na malls nyingi kuliko Kenya ki vipi wakati uchumi wao ni mdogo sana.
 
But still Zambia has more malls than your country.
Tatizo la kenya cause of the superiority mentality hawajawahi kufikiria kwamba kuna nchi nyingine yoyote kwenye black Africa inaweza kuwapita kwa chochote, zaidi ya South Africa na Nigeria. Watu walioendelea kama SA, Botswana na Angola wako humble sana.

Halafu wakenya hawajielimishi kimachoendelea sehemu nyingine bila ku-realize wana lag behind kwenye mambo mengi. Wakenya wengi washomba sana. Kuna mkenya mmoja alikuja Europe akawa analinganisha Nairobi na miji mingine ya East Africa na akasifia Nairobi cause ina magari mengi na heavy traffic jam kwenye rush hours!!! Kwa hiyo yeye traffic jam ni alama ya maendeleo ya jiji!!! Nilimuelewesha kwamba hiyo ni alama ya dysfunctionality, kwamba mji una tatizo kubwa hakuweza kubadili mtizamo wake kutoka kuona jam kama tatizo badala ya sifa!!

Wakenya wengi hawana exposure wakiwepo wanaochangia hapa JF!!



Here are facts, South Africa obliterates the rest of Africa ikija kwa malls..... Lakini baada ya SA kwa malls ni Kenya

Mall space in Africa.jpg

Baada ya Kenya ni Namibia, Botswana etc




Hio picha ukiangalia vizuri, ni takwimu za 2016.... Lakini kabla muanze kulalamika eti inaeza kua walijenga malls zengine kubwa zaidi tangu hapo, wacha pia niwaonyeshe takwimu za malls mpya ambazo zilikua ziko level tofauti za ujenzi.


Mall spacce planned.jpg


Kenya ilikua iko mbioni ikiongoza Sub sahara Africa (nje ya SA) ku double zile malls tuko nazo.. nchi ya pili ikiwa ni Angola ikifwatwa na Lagos alafu Tanzania,... Zambia ikiwa huko nyuma numbari 12 kwahivyo hawakuwa na mpango wowote wa kuongeza malls zengine kibao kama vile Kenya.



Source
 
It is stereotyping. Ni rahisi kudai kuwa Wakenya wanajisifia sana kuliko Botswana, Angola etc. Kinachokufanya uamini hivyo ni kuwa una-interact na Wakenya zaidi kuliko watu kutoka nchi nyingine.
Another thing; huyo blogger ana-promote channel yake, unachukulia kila alichokisema ni gospel truth?
You're smart.
 
Back
Top Bottom