Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Wazambia sio watu wa mbwembwe,pamoja na mall zao wafanyabiashara wa kizambia hasa wadada wamejazana k'koo na mchikichini hapo,kupoint nguo na viatu na kwenda kuuza kwao
Sent using Jamii Forums mobile app
Majamaa zetu mazuzu sana
Kuna mshikaji alienda Lusaka alinambia kuna malls kila kona mm nikahisi ananijaza tu...sasa kitu kama unavyoona lakin wenyewe wako kimya...Hawa nyumbu as jubilee wanakelele sana na vyombo hawana
Sent using Jamii Forums mobile app