babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 11,632
- 29,912
Na huoni kabisa kuwa kupunguza wafanyakazi ni dalili mbaya ya biashara,Yep. Walifuta watu 20 kazi baada ya kuuza Jumia Travel kwa Travelstart.
Workforce yao Kenya ikashuka kutoka 686 hadi 660.
Otherwise business as usual.
Lakini LDC Tanzania, Rwanda, Burundi hakuna biashara. Wamefunga kazi.
Ldc but tunalisha nchi yenu kuanzia matunda hadi mazao ya nafaka 😂😂😂