Wew huna akili aliezuia nimeneja wa uwanja nayeye amesema simba hawakutoa taarifa kama wataenda kufanya mazoez, hata hivyo kukataliwa kufanya mazoez sio kigezo chatim kususa mechi zipo hatua zakuchukuaEbu tuangalie kiini cha tatizo kwanza. Ni kwanini Yanga mliwazuia Simba wasiingie uwanjani?
Kanuni inawaruhusu Bodi kupanga na kupangua ratiba. Hata hiyo ya tarehe 8 walipanga wao, wakapangua wao.Walisimamisha mechi kwa kanuni ipi?
Asiye na akili ni yule anayepeleka timu uwanjani wakati hakuna refaWew huna akili aliezuia nimeneja wa uwanja nayeye amesema simba hawakutoa taarifa kama wataenda kufanya mazoez, hata hivyo kukataliwa kufanya mazoez sio kigezo chasim kususa mechi zipo hatua zakuchukua
Atakusumbua akili yako huyo achana naeWew huna akili aliezuia nimeneja wa uwanja nayeye amesema simba hawakutoa taarifa kama wataenda kufanya mazoez, hata hivyo kukataliwa kufanya mazoez sio kigezo chasim kususa mechi zipo hatua zakuchukua
Acha makelele wewe. Usitufanye kama sisi wengine hatuna taarifa sahihi.Wew huna akili aliezuia nimeneja wa uwanja nayeye amesema simba hawakutoa taarifa kama wataenda kufanya mazoez, hata hivyo kukataliwa kufanya mazoez sio kigezo chasim kususa mechi zipo hatua zakuchukua
TFF iache wizi itoe maamuzi kwa utoto walioufanya 5imba
Kwa ile Yanga kutafuta sababu za kukimbia mechi ni lazima maana mechi nyepesi tu mpaka mpewe matuta hao AZAM wachezaji watatu ndio walikua wanasumbua sasa hiyo Yanga Timu nzima ni ya moto mliichungulia mkatoa sababu za hovyo..
Kwanza kwenye hili ulipaswa ujifunze udhaifu wa viongozi wanaosimamia ligi yetu badala ya moja kwa moja kwenda kwenye point 3. Al Ahly walitoa msimamo wao kuwa hawatocheza mechi kwasababu ya mwamuzi hatoki nje ya nchi yao, lakini hukuona chama cha soka cha misri wakiitana kujadiliana bali wamekaa kimya na kuacha taratibu zote za mechi ziendelee.Wenzenu marefa walienda uwanjani kwa maana bodi ya ligi yao ilikuwa inatambua kuwa mechi ipo.
Jopo zima la wahusika na wakaguzi wa mechi walikuwepo na ndio maana wamekuwa wafaidika wa kupewa hizo point 3.
Sasa nyie mmetangaziwa na bodi ya ligi kwamba hakuna mechi lakini kwa kiburi mkaamua kwenda.
Halafu mnatoka huko mnaanza kusumbua wataasisi eti mpewe point 3.
Kwanza bodi ya ligi haikupeleka wasimamizi, inathibitishaje kama kweli mlienda uwanjani?
Bodi ya ligi haiwezi kuthibitisha kuwa mlipoenda uwanjani Simba hawakuja kwasababu hakuna aliyeona.
Akili ziwakae wakati wakati mkigoma wanajichotea point 3 na magoli 3?Walisimamisha mechi kwa kanuni ipi? Au walishinikizwa na mgomo wa simba? Simba kama wanajitoa kwenye ligi, wasepe waende ligi ya zanzibar. Sio kutuletea utoto na kuwaingiza watu hasara kwa kuvimbiana na bodi ya ligi.
Yaani watu waandae mchezo kwa gharama, alafu eti mijitu mizima igome kitoto kabisa kwasababu za kuokoteza jalalani!!! Haikubaliki hata kidogo.
Nasisitiza, hakuna derby nyingine msimu huu mpaka akili ziwakae sawa. Si mmezoea mbeleko, mtashushwa tu mgongoni mwa tff mbwa nyie
Tatizo limetengenezwa na Simba wenyeweAcha makelele wewe. Usitufanye kama sisi wengine hatuna taarifa sahihi.
Mmeanzisha tatizo ila mkakutana na wanaume wenye misimamo. Haya sasa wiki nzima mnatoa milio tu. Tatizo penu ni ushamba ns uswahili mwingi
Sawa tupe kanuni au sheria inayosema kuwa timu ngeni ikishindwa kufanya mazoezi ya mwisho inatakiwa mechi asicheze.Acha makelele wewe. Usitufanye kama sisi wengine hatuna taarifa sahihi.
Mmeanzisha tatizo ila mkakutana na wanaume wenye misimamo. Haya sasa wiki nzima mnatoa milio tu. Tatizo penu ni ushamba ns uswahili mwingi
Kwahio suala ni kwamba bodi ya ligi walijua mtafungwa na mngetumia kigezo cha uwanja kulalamika [emoji1].Jengeni timu ya ushindani wenetu.Acha kujitoa ufahamu,unadhani kunyimwa fursa ya kutumia uwanja ingetokea simba akafungwa goli la mchongo ingekuwaje,kungeweza kutokea hata vifo
Kanuni ipi inayowaruhusu kuahirisha mechi bila sababu ya msingi?Kanuni inawaruhusu Bodi kupanga na kupangua ratiba. Hata hiyo ya tarehe 8 walipanga wao, wakapangua wao.
Leteni timu siku ambayo match officials wapo, msivizie kuleta wakati hakuna mtu wa kuikagua timu na kupiga filimbi ya kumaliza mechi
Muda utaamua ila sidhani kama itawezekanahakuna jeuri hiyo ninyi vyura mtakuja tu uwanjani
Hakuna kanuni inayosema ukinyimwa uwanja ugome kupeleka timu uwanjani. Acheni janja janjaAcha kujitoa ufahamu,unadhani kunyimwa fursa ya kutumia uwanja ingetokea simba akafungwa goli la mchongo ingekuwaje,kungeweza kutokea hata vifo