Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Jamani nilifanikiwa enzi za miaka 22 kupata mwanaume nauwezo wake wa kumiliki biashara za kutosha.
Huyu bwana aliitwa Salimu kijana mzuri wa sura na mwili pia mkarimu na anaheshima kwa kila mtu. Utampenda kwa kujali dini yake na kila mara anasaidia masikini. Anajua kutunza sana sana .
Hapendi kukuona unateseka mpenzi wake na anaweza kusaidia. Imefikia siku moja akadai anataka ndoa na pia anataka kunihalalisha. Nikaona sawa tukaanza mipango ila nikampata mtu mmoja mwanamke makamu akawa ananifunda sasa weeh nikaona hapana .
Tatizo kubwa nikushare mume eti mnapangwa kuliwa khaπππ€£π€π na hii nikitu sio fresh kabisaa .
Yaani wapo watu hata kuvuliwa boxer ni ajabu wewe unapangwa na saliim anawake watatu wote wanapeana zamu .
Nikaona shida isiwe shida nilikuwa nafanya kazi mahali kipindi hichoo .
Nikaanza kukusanya pesa za watu nikaona nirudishe .
Akaikataa na akakubali kusitisha urafiki na uhalalishwaji .
Mimi kupeana zamu ili nishinda kabisaa isitoshe ukiwa unajuwa kuwa mko wanne na mume mmoja hii ni aibu.
Sasa siku moja simu ngeni ikapigwa nikaasutwa nikaambiwa hivi anaoa mke wa nne .
Nikasema hiyo ni heri msije mkanipange kama vifurushi vya michele kisa mume .
Yakaishia hapo nikasonga akasonga hata kama umechoka maisba usikubali kushare kisa nini halafu ni umeolewa nafuu unaiba kuliko kuhalalishwa kwenye timu ya ujinga .
Mpaka mapepo mnarushiana .
Kosa ni kuoelewa na cha wote .
Siku njema
Huyu bwana aliitwa Salimu kijana mzuri wa sura na mwili pia mkarimu na anaheshima kwa kila mtu. Utampenda kwa kujali dini yake na kila mara anasaidia masikini. Anajua kutunza sana sana .
Hapendi kukuona unateseka mpenzi wake na anaweza kusaidia. Imefikia siku moja akadai anataka ndoa na pia anataka kunihalalisha. Nikaona sawa tukaanza mipango ila nikampata mtu mmoja mwanamke makamu akawa ananifunda sasa weeh nikaona hapana .
Tatizo kubwa nikushare mume eti mnapangwa kuliwa khaπππ€£π€π na hii nikitu sio fresh kabisaa .
Yaani wapo watu hata kuvuliwa boxer ni ajabu wewe unapangwa na saliim anawake watatu wote wanapeana zamu .
Nikaona shida isiwe shida nilikuwa nafanya kazi mahali kipindi hichoo .
Nikaanza kukusanya pesa za watu nikaona nirudishe .
Akaikataa na akakubali kusitisha urafiki na uhalalishwaji .
Mimi kupeana zamu ili nishinda kabisaa isitoshe ukiwa unajuwa kuwa mko wanne na mume mmoja hii ni aibu.
Sasa siku moja simu ngeni ikapigwa nikaasutwa nikaambiwa hivi anaoa mke wa nne .
Nikasema hiyo ni heri msije mkanipange kama vifurushi vya michele kisa mume .
Yakaishia hapo nikasonga akasonga hata kama umechoka maisba usikubali kushare kisa nini halafu ni umeolewa nafuu unaiba kuliko kuhalalishwa kwenye timu ya ujinga .
Mpaka mapepo mnarushiana .
Kosa ni kuoelewa na cha wote .
Siku njema