Zantel High Life Club SUCKS

Zantel High Life Club SUCKS

mkuu VOR ... kuna mtu nimempigia atawasilisha kwa supervisor wao aje hapa jamvini .... lakini nasikia CEO aliuliza staff kwamba kuna tatizo gani la highlife club sasa hivi
Nice one hawa jamaa inabidi wajue kwamba mteja ni mfalme..., wasipoangalia watabaki wenyewe.

Also Customer Care yao its one of the worse... kila mtu anatoa jibu anavyojisikia and they dont even know what they are talking about

Please kama huyo jamaa angetoa time ingekuwa bora..., ili nihakikishe na mimi nipo..., lakini kwa uzoefu wangu hata huyo jamaa atatoa jibu rahisi kwamba tutashughulikia shida zenu na tutapeleka kwa wahusika...

Mimi kwa kweli nawapa ultimultum..., kama nikishindwa kuweka Highlife leo itakapoexpire I will be migrating to Airtel
 
Hawa Zantel wana itikadi ya kibiashara ya "nakioze", kwa maana hata kama kitaoza dukani lakini wanang'ang'ania faida kubwa wakati hawajui kuwa soko la ushindani halitaki hivyo. Bado wamelala, siku wakiamka watakutia wateja hawapo. Wakumbuke kuwa soko lao kubwa kwa TZ liko bara kuliko visiwani.
Pigeni usingizi Zantel, watu mbele kwa mbele.
 
Nice one hawa jamaa inabidi wajue kwamba mteja ni mfalme..., wasipoangalia watabaki wenyewe.

Also Customer Care yao its one of the worse... kila mtu anatoa jibu anavyojisikia and they dont even know what they are talking about

Please kama huyo jamaa angetoa time ingekuwa bora..., ili nihakikishe na mimi nipo..., lakini kwa uzoefu wangu hata huyo jamaa atatoa jibu rahisi kwamba tutashughulikia shida zenu na tutapeleka kwa wahusika...

Mimi kwa kweli nawapa ultimultum..., kama nikishindwa kuweka Highlife leo itakapoexpire I will be migrating to Airtel

mkuu ... hawa jamaa mwanzoni mwa mwaka jana ... niliwashauri pale kwenye head office yao wakati na badilisha modem kwamba kwanini wasijikite kwenye data zaidi kwani walijitahidi sana kwa hili .....kwani packages zao ni nzuri na zina gharama zinazoridhisha .... sasa hawajasoma nyakati.. airtel na voda wanakuja kasi na watatumia mbinu zote kuhakikisha wana dominate hii data service .... kupata mteja ni kazi kubwa sana lakini kumpoteza ni dakika

kuhusu time sina uhakika
 
na wakizingatia hawana wateja wengi wa voice...wangekomaa na data .mbona plan yao ya kutumia GSM kuactivate highlife was just adding voice customers automatically kidogokidogo na wangegrow vizuri..
nadhani marketers wao wanalamba mshahara bila strategies za kugrow business
 
Marketing department and Finance department za kampuni za simu hazifanyi kazi zaidi ya kudevelp lottery business model. Nilipofanya interview 2009 na Zain niliwaambia walio ni interview you guys are losing money. Na hii ni exactly case, vijana wengi wabongo ambao wapo kwenye hizi department ni wavivu wa kufikiri.

Na ili hizi kampuni zipate watu washindani lazima waache upuuzi wa kusema tutakupa 3 million mshara. That doesn't make sense, competitive candidate kwenye hii dunia anataka mshara plus profit sharing mwisho wa mwaka. That is the only way watapata business developer who will bring good products to Tanzania community and good return to Investors. Zama za mishara bila compasation ya equity zimekwisha.

Very true mkuu,
Those guys wa makampuni ya simu hawana creativity kabisa, lottery zote mnazoziona ni creativity za wahindi ndo wanapiga deals za kuwaweka mjini. Yaani watu wa commercial & marketing wa makampuni ya simu ni wapo after 10%, lakini ukikaa nao mezani kwenye dialogue related na fani zao...ni upupu mtupu. Hao hata ulalamike vp ni ngumu kuwa given the attention ya care ya maana, ninao uzoefu nao coz nimekuwa ndani ya systems za makampuni ya simu for years.
 
mkuu ... na mimi yamenisibu ....niliwaamini hawa z-connect kumbe sio... sasa hivi nimetoka kupigizana nao kelele hao wa customer service ... bora wange ongeza bei kidogo kwenye bundle na sio kulazimisha mtu ku recharge ...halafu utapiga wapi simu .... airtel modem ni TZS ngapi...?

Nimetoka sasa hivi kununua moderm ya airtel TZS 60,000 na offer ya 3GB for a week....nimeachana na Zantel
 
Wakuu Wote and Tatoo USHAURI
Sababu sisi ndio Customers unaonaje tukionge na mtu wa ZANTEL (Uongozi na kuwatumia hii Link) kwamba tuna-demand mtu wao aje hapa Jamvini ili ajibu tuhuma za kwanini ninunue 2GB kwa 15,000 wakati wenzao wanauza 3GB kwa the same amount. Pia kwanini uniforce nimake calls Je kama sipendi kuongea na kupoteza muda..? kwanini usiniambi kwamba 2GB ni 15,000/=

Kwahiyo wakuu yoyote mwenye Contact za hawa jamaa naomba aongee na representative wao ili aje hapa ajibu hizi shutuma....

This is more than shutuma. Kuna rafiki yangu ameongea na well placed source huko zantel, amenidokezea kwamba hawa ndugu hhawatabadilisha uamuzi haraka kiasi hicho....dawa yao moja tu...kuanzia kesho subirini mziki wao....tcra wameshindwa kututetea sisi tunajitetea wenyewe...
 
This is more than shutuma. Kuna rafiki yangu ameongea na well placed source huko zantel, amenidokezea kwamba hawa ndugu hhawatabadilisha uamuzi haraka kiasi hicho....dawa yao moja tu...kuanzia kesho subirini mziki wao....tcra wameshindwa kututetea sisi tunajitetea wenyewe...
Kuna mdau amesema kwamba kuna supervisor wao atakuja hapa jamvini kutusikiliza... although kama wewe sidhani kama majibu yake yataridhisha.. anyway my ultimatum ni leo usiku package yangu ikiisha..., nikishindwa kujaza highlife... kesho i will be another customer moving to Airtel
 
Kuna mdau amesema kwamba kuna supervisor wao atakuja hapa jamvini kutusikiliza... although kama wewe sidhani kama majibu yake yataridhisha.. anyway my ultimatum ni leo usiku package yangu ikiisha..., nikishindwa kujaza highlife... kesho i will be another customer moving to Airtel

huyu mdau ali confirm ku visit jamvi lakini nahisi na inaonekana hatajibu chochote .....
 
Sasa hivi nimeshindwa kupata huduma ya High Life for the same case. Nimejiondoa Zantel.
 
Natumia moderms ya Vodacom, haina shida yoyote kwa speed, coverage na cost. Nilishatumia ya Zantel na Airtel matatizo yake sitaki tena kuyarudia. Am now settled.
 
Ndugu,


Kwa msaada wangu wa haraka haraka, Zantel wametoa offer kwa watumiaji
wa GSM sim card kupiga simu za nje ya nchi kwa gharama nafuu yenye
kiwango wasia au karibu kufikia na gharama za simu za ndani ya nchini.
Hivyo basi wakajumuisha na huduma ya vifurushi endapo unayo modem yao
ya internet ambapo utaweza kutumia 10,000 na ukapata kifurushi cha 2GB
kwa muda wa siku 7 za wiki. Lakini wakati umeunganishwa na huduma ya
Highlife (kwenye GSM) ni LAZIMA sim card hiyo iwe inapiga Voice calls
kama kawaida na siyo kuwa Idol mpaka kifurushi cha internet kwisha
ndipo ukajiunge tena na kifurushi kingine.

Hivyo basi kama SIM card yako ya GSM haikuwa ikitumika kwa Voice calls
kwa muda wa siku hizo 7 ambazo ulikuwa ukiburudika na huduma ya
vifurushi kwenye modem yako ya internet, ni kosa hivyo wao ndiyo wenye
haki ya kukuondolea huduma ya highlife sababu umekwenda kinyume na
masharti na matumizi huduma hiyo ya highlife. Ndio maana kuna normal
rate za vifurushi vya internet ambapo haina haja ya kuwa mteja wa
highlife, ukitembelea link hii http://zantel.com/zconnect.html unaweza
kujionea pale.

Ni hayo tu, mimi sio msemaji wa zantel bali ni mteja wa muda mrefu wa
zantel.
//Linc
 
Ndugu,


Kwa msaada wangu wa haraka haraka, Zantel wametoa offer kwa watumiaji
wa GSM sim card kupiga simu za nje ya nchi kwa gharama nafuu yenye
kiwango wasia au karibu kufikia na gharama za simu za ndani ya nchini.
Hivyo basi wakajumuisha na huduma ya vifurushi endapo unayo modem yao
ya internet ambapo utaweza kutumia 10,000 na ukapata kifurushi cha 2GB
kwa muda wa siku 7 za wiki. Lakini wakati umeunganishwa na huduma ya
Highlife (kwenye GSM) ni LAZIMA sim card hiyo iwe inapiga Voice calls
kama kawaida na siyo kuwa Idol mpaka kifurushi cha internet kwisha
ndipo ukajiunge tena na kifurushi kingine.

Hivyo basi kama SIM card yako ya GSM haikuwa ikitumika kwa Voice calls
kwa muda wa siku hizo 7 ambazo ulikuwa ukiburudika na huduma ya
vifurushi kwenye modem yako ya internet, ni kosa hivyo wao ndiyo wenye
haki ya kukuondolea huduma ya highlife sababu umekwenda kinyume na
masharti na matumizi huduma hiyo ya highlife. Ndio maana kuna normal
rate za vifurushi vya internet ambapo haina haja ya kuwa mteja wa
highlife, ukitembelea link hii http://zantel.com/zconnect.html unaweza
kujionea pale.

Ni hayo tu, mimi sio msemaji wa zantel bali ni mteja wa muda mrefu wa
zantel.
//Linc

naomba ujibu ....kabla ya kuanzisha huu utaratibu wa kutumia TSH 5,000 kwa wiki....ulikuwa unatakiwa uwe umepiga voice call ya kiasi (shillingi) ngapi ndani ya 7 days....?
 
Ndugu,


Kwa msaada wangu wa haraka haraka, Zantel wametoa offer kwa watumiaji
wa GSM sim card kupiga simu za nje ya nchi kwa gharama nafuu yenye
kiwango wasia au karibu kufikia na gharama za simu za ndani ya nchini.
Hivyo basi wakajumuisha na huduma ya vifurushi endapo unayo modem yao
ya internet ambapo utaweza kutumia 10,000 na ukapata kifurushi cha 2GB
kwa muda wa siku 7 za wiki. Lakini wakati umeunganishwa na huduma ya
Highlife (kwenye GSM) ni LAZIMA sim card hiyo iwe inapiga Voice calls
kama kawaida na siyo kuwa Idol mpaka kifurushi cha internet kwisha
ndipo ukajiunge tena na kifurushi kingine.

Hivyo basi kama SIM card yako ya GSM haikuwa ikitumika kwa Voice calls
kwa muda wa siku hizo 7 ambazo ulikuwa ukiburudika na huduma ya
vifurushi kwenye modem yako ya internet, ni kosa hivyo wao ndiyo wenye
haki ya kukuondolea huduma ya highlife sababu umekwenda kinyume na
masharti na matumizi huduma hiyo ya highlife. Ndio maana kuna normal
rate za vifurushi vya internet ambapo haina haja ya kuwa mteja wa
highlife, ukitembelea link hii http://zantel.com/zconnect.html unaweza
kujionea pale.

Ni hayo tu, mimi sio msemaji wa zantel bali ni mteja wa muda mrefu wa
zantel.
//Linc

wewe umeandika idol..... nikusaidie labda ulimaanisha idle .....

naomba nijibu..... sim card ipo idle maana yake ni nini..? kama ninapokea simu as incoming calls wewe kwa uelewa wako simu ni idle...?
 
Ndugu,


Kwa msaada wangu wa haraka haraka, Zantel wametoa offer kwa watumiaji
wa GSM sim card kupiga simu za nje ya nchi kwa gharama nafuu yenye
kiwango wasia au karibu kufikia na gharama za simu za ndani ya nchini.

Mkuu to make a long story short hapa watu wengi walijiunga zantel hili watumie 2GB kwa wiki kwa elfu 10,000/= and they dont care about calling abroad au kumpigia mtu yeyote kwenye simu... sasa hapa issue ni condition ya kuforce mtu aongee kwa 5,000/= calls which he does not want to make... Now this makes Zantel very expensive on the net ambapo for 15,000/= ukiwa airtel unapata 3gb alafu zantel ukimaliza hiyo 2gb before wiki kwisha huwezi hata kuongeza mpaka wiki inakwisha.

Sisi ni wateja na hapa hatuongelei legality ya kitu chochote na all other Z connect packages sucks..., thats why leo asubuhi I knocked on Airtel doors modem zikawa zimekwisha... kwahiyo Vodacom here I come.. na hii modem nadhani i will just throw it somewhere and forget about it
 
Mkuu to make a long story short hapa watu wengi walijiunga zantel hili watumie 2GB kwa wiki kwa elfu 10,000/= and they dont care about calling abroad au kumpigia mtu yeyote kwenye simu... sasa hapa issue ni condition ya kuforce mtu aongee kwa 5,000/= calls which he does not want to make... Now this makes Zantel very expensive on the net ambapo for 15,000/= ukiwa airtel unapata 3gb alafu zantel ukimaliza hiyo 2gb before wiki kwisha huwezi hata kuongeza mpaka wiki inakwisha.

Sisi ni wateja na hapa hatuongelei legality ya kitu chochote na all other Z connect packages sucks..., thats why leo asubuhi I knocked on Airtel doors modem zikawa zimekwisha... kwahiyo Vodacom here I come.. na hii modem nadhani i will just throw it somewhere and forget about it

mkuu...kama modem za airtel zimekwisha ina maana kuna impact fulani hivi iliyotokea ... nimeshapata ya VODA .... modem zangu mbili za zantel send to trash
 
Ndugu,


Kwa msaada wangu wa haraka haraka, Zantel wametoa offer kwa watumiaji
wa GSM sim card kupiga simu za nje ya nchi kwa gharama nafuu yenye
kiwango wasia au karibu kufikia na gharama za simu za ndani ya nchini.
Hivyo basi wakajumuisha na huduma ya vifurushi endapo unayo modem yao
ya internet ambapo utaweza kutumia 10,000 na ukapata kifurushi cha 2GB
kwa muda wa siku 7 za wiki. Lakini wakati umeunganishwa na huduma ya
Highlife (kwenye GSM) ni LAZIMA sim card hiyo iwe inapiga Voice calls
kama kawaida na siyo kuwa Idol mpaka kifurushi cha internet kwisha
ndipo ukajiunge tena na kifurushi kingine.

Hivyo basi kama SIM card yako ya GSM haikuwa ikitumika kwa Voice calls
kwa muda wa siku hizo 7 ambazo ulikuwa ukiburudika na huduma ya
vifurushi kwenye modem yako ya internet, ni kosa hivyo wao ndiyo wenye
haki ya kukuondolea huduma ya highlife sababu umekwenda kinyume na
masharti na matumizi huduma hiyo ya highlife. Ndio maana kuna normal
rate za vifurushi vya internet ambapo haina haja ya kuwa mteja wa
highlife, ukitembelea link hii http://zantel.com/zconnect.html unaweza
kujionea pale.

Ni hayo tu, mimi sio msemaji wa zantel bali ni mteja wa muda mrefu wa
zantel.
//Linc

Ninapata harufu kama wewe ni mfanyakazi wa Zantel kwenye idara ya finance na masoko vile....hata na hivyo....hujaeleza chochote hapo...mimi nimeshapata ya Voda, saafi kabisa....zantel trash....
 
And Zantel should know its takes more resorces to find a new customer, than keeping an old customer and a loyal customer is priceless...

Kwahiyo since I have dumped Zantel... sijui ni nini kitanifanya nirudi.... labda waslash cost zao, sababu since nimeshanunua modem nyingine kwa gharama I feel cheated and am pissed off... hata wakirudisha ile 2gb a week kwa 10,000/= I dont think i will go back to them.
 
Nimejaribu kujiunga leo mchana ikashindikana,nimewapigia customer care na kuwaeleza kwamba wanapoteza wateja,wakigoma naenda airtel....tembo akisifiwa mgema hulitia maji!!!
 
Back
Top Bottom