Zantel na Zain wapunguza gharama za internet

Zantel na Zain wapunguza gharama za internet

Guys, mimi nina ka internet cafe ka mchwara mtaani sehemu za nyuma ya Airport (VITUKA) hapa Dar maeneo ambayo siwezi kupata broadbend service za TTCL kwani hakuna nyaya za simu zao, natumia CATS-NET, unlimited services, USD 150 kwa miezi mitatu kwa 64kbps. Wanacharge USD250 kwa miezi mitatu kwa 128kbps. It's 100% unlimited. Tatizo kidogo wakati fulani inasumbua lkn kutegemeana na maeneo ulipo. Nimezunguka sana sijaona ISP mwingine mwenye good rates kama hawa jamaa. Tumia 24 hours 7 days a week kwao sawa tu.

Mkuu,

64kbps inatosha kweli ? Au unacomputer chache. Mwenyewe nina cafe yangu link ni 256kbps computer 6 lakini naona bado. Halafu hawa CATS-NET hawakucharge installation costs kubwa ?

B.P
 
Sasa naamini wengi watakuwa na access ya mtandao zaidi kwa Bongo.

Modem ya Zantel ni Tshs 150,000/= na ya Zain ni Tshs 60,000/=

Zantel:

Monthly
2GB - 10,000/=
8GB - 50,000/=

ZAIN:

Weekly 3GB - Tshs 15,000/=

Monthly 8GB - Tshs 70,000/=

Quarterly 24GB - Tshs 200,000/=

Yearly 96GB - Tshs 750,000/=

Nadhani tunaelekea kuzuri, wengi wataweza kumudu matumizi ya internet



Haya yote ni mazuri, lakini kwa watumiani kama mimi, ninachojali ni uwezo wa mtandao (throughput). Je, kuna utafiti wowote uliofanywa kuthibitisha ni nani mwenye uwezo mkubwa zaidi kimtandao, kuweza kupitisha data (bandwidth rate) kwa kasi zaidi?

So far, Sasatel inaongoza! Ila kuna jambo moja tu wameniudhi! Bundle ya SurFUNlimited haipatikani kwa wanaotumia EVDO modems!
 
Back
Top Bottom