BrainPower
Senior Member
- May 19, 2009
- 146
- 1
Guys, mimi nina ka internet cafe ka mchwara mtaani sehemu za nyuma ya Airport (VITUKA) hapa Dar maeneo ambayo siwezi kupata broadbend service za TTCL kwani hakuna nyaya za simu zao, natumia CATS-NET, unlimited services, USD 150 kwa miezi mitatu kwa 64kbps. Wanacharge USD250 kwa miezi mitatu kwa 128kbps. It's 100% unlimited. Tatizo kidogo wakati fulani inasumbua lkn kutegemeana na maeneo ulipo. Nimezunguka sana sijaona ISP mwingine mwenye good rates kama hawa jamaa. Tumia 24 hours 7 days a week kwao sawa tu.
Mkuu,
64kbps inatosha kweli ? Au unacomputer chache. Mwenyewe nina cafe yangu link ni 256kbps computer 6 lakini naona bado. Halafu hawa CATS-NET hawakucharge installation costs kubwa ?
B.P