Zantel na Zain wapunguza gharama za internet


Mkuu,

64kbps inatosha kweli ? Au unacomputer chache. Mwenyewe nina cafe yangu link ni 256kbps computer 6 lakini naona bado. Halafu hawa CATS-NET hawakucharge installation costs kubwa ?

B.P
 



Haya yote ni mazuri, lakini kwa watumiani kama mimi, ninachojali ni uwezo wa mtandao (throughput). Je, kuna utafiti wowote uliofanywa kuthibitisha ni nani mwenye uwezo mkubwa zaidi kimtandao, kuweza kupitisha data (bandwidth rate) kwa kasi zaidi?

So far, Sasatel inaongoza! Ila kuna jambo moja tu wameniudhi! Bundle ya SurFUNlimited haipatikani kwa wanaotumia EVDO modems!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…