SHIEKA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,240
- 4,265
Mara ya mwisho kuisikia kampuni ya simu za mikononi Zantel ni sehemu ya pili ya mwaka jana (June- December 2012).
Matangazo yake ya biashara niliyasikia sana eg 'Twanga kotekote' na Epiq Nation. Walifadhili BSS na wakaja na tangazo
moja maridadi sana lililotumia wimbo wa King Kiki '.....mtoto aanza tambaa' na kutumia majina ya majaji wa BSS. Tangazo hili liliniingia sana moyoni mwangu nikanunua chip (line) ya zantel.
Mwaka huu 2013 ulipoanza na mpaka muda huu sijawasikia katikati ya makelele ya sokoni ya '.....Kazi ni kwako,
......xyz Yatosha, au .....smile, you are with ABC'
Au ndo wamejiondoa kwenye soko?????
Matangazo yake ya biashara niliyasikia sana eg 'Twanga kotekote' na Epiq Nation. Walifadhili BSS na wakaja na tangazo
moja maridadi sana lililotumia wimbo wa King Kiki '.....mtoto aanza tambaa' na kutumia majina ya majaji wa BSS. Tangazo hili liliniingia sana moyoni mwangu nikanunua chip (line) ya zantel.
Mwaka huu 2013 ulipoanza na mpaka muda huu sijawasikia katikati ya makelele ya sokoni ya '.....Kazi ni kwako,
......xyz Yatosha, au .....smile, you are with ABC'
Au ndo wamejiondoa kwenye soko?????