AFYA ZAIDI CONSULTANTS
Senior Member
- Mar 6, 2017
- 138
- 527
Daahhh sisi tunaotegemea kujifunza, kufanya marketing na sales kwa njia ya mtandao gharama zimepanda tena. Leo naamka nakuta kifurushi cha Wiki cha ZANTEL ambacho ilikuwa unapewa GB 2.2 kwa Tsh 3,000 (Hapo kilipunguzwa pia kutoka GB 2.5) kwa sasa unapewa GB 1.9 tu. Sasa na haya mambo ya YouTube, Instagram na Streaming GB 1.9 ni kifurushi cha siku 3 tu.
Halafu haya makampuni ya simu ni wajanja kweli. Wao hawaongezi bei, bali wanapunguza ukubwa wa bundle/idadi ya GB. Maana wanajua wakiongeza bei mauzo yao yatapungua zaidi.
Huko VODACOM, HALOTEL, AIRTEL na TTCL Vipi?
Halafu haya makampuni ya simu ni wajanja kweli. Wao hawaongezi bei, bali wanapunguza ukubwa wa bundle/idadi ya GB. Maana wanajua wakiongeza bei mauzo yao yatapungua zaidi.
Huko VODACOM, HALOTEL, AIRTEL na TTCL Vipi?